mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Naunga hoja kama ukaw wana nia ya kweli kugawana majimbo mtatiro ni nguvu inayotakiwa kuwemo mjengoni
Huyu hajaanza leo, toka 2010 yeye na shughuli za kijamii tu akiwa Diwani wa Kipawa, kati ya watu wenye kujituma kwenye majukumu yao huyu binti yupo fiti.Sio kama hao wengine wanaotafuta ajira tu kwenye siasa ili wapate kula.Tunahitaji wwtu wenye maslahi ya umma mioyoni mwao, kwa Segerea Bonnah kaluwa hana upinzani kwa hilo, huyu wakati wote anahangaika na masuala ya umma.
sie watu wa Segerea tumeishaamua, tunakwenda na Mwanadada Bonnah Kaluwa mgombea wa CCM jimbo la Segerea
![]()
![]()
![]()
Kama unabisha muulize kapi Makongoro Mahanga, huyu binti ni jembe.
Matola mtatiro anasema hili jimbo limeletwa chadema, na kuna tetesi kuwa dr Slaa anakuja kugombea? Kuhusu dr sidhani kama kuna ukweli?