Mtatiro aumbuka

Mtatiro aumbuka

Ukiona wanabwabwaja ujue kinewapata, Mtatiro komaa nao, tunahitaji mkosoaji mkuu wa mfalme.


Mtatiro namuona kama shujaa wa kizazi kipya, ni suala la Muda tu
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
Hivi na wewe ni wa kumkosoa Mtariro? Kwa ufahamu upi ulionao?
 
Ukiona wanabwabwaja ujue kinewapata, Mtatiro komaa nao, tunahitaji mkosoaji mkuu wa mfalme.


Mtatiro namuona kama shujaa wa kizazi kipya, ni suala la Muda tu
Ni moja ya vijana makini sana wanaosimamia wanachokiamini sio wachumia tumbo hawa. Sasa kama mtu hajawahi kuajiriwa inampunguzia nini yeye? Kua kiongozi huku CUF haikua ajira? Kuajiriwa na kulipwa mshahara ndio sifa ya kiongozi bora?
 
Kiukweli maneno aliyoyatamka rais huko Zanzibar yamekosa hekima....na hayakupaswa kuzungumzwa na mtu kama yey hasa katika kipindi kama na hali ilivyo huko Zanzibar......
Ni kama ameuwasha moto ambao ulikwa unakaribia kuzimika......

Muungwana hupima uzito wa maneno yake kabla ya kuyatamka.....kwani anatambua uzito wa ulimi kimatamshi....!!??
 
Teh teh...mleta mada bwana.....teh teh.......
 
Asante kwa kuandika uzi huu maana sasa nimetambua ni akina nani wapo nyuma ya prof katika kuivuruga CUF
 
Pamoja na matatizo yote ya Mtatiro, alicho mkosoa Rais kilikuwa ni kweli
Sikutegemea kama Rais ange zungumza aliyo ya tamka huko z"bar
Mbona mtatiro alikaa kimya wakati sefu alipokataa kutoa mkono kwa Dr Shein?
 
Upinzani wanashangalia kila jambo la chuki linalo fanywa na upinzani... Hawajui kitendo cha Maalim kukataa kumpa mkono Shein.. Na mtatiro alipongeza...
 
Rais ni wa watu wote, hata kama Mwananchi 1 hakukubali ni lazima umpe haki zake anazostahili
 


**** maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile



NYARUKURURU

Jana kuna DC mmoja alisema kwa Msomi (excluding yeye ????) kuwaza kuajiriwa baada ya kumaliza Chuo ni Upuuzi.
So based on what you wrote above,niki m reffer DC wewe ni Mpuuzi unless wewe sio Msomi, means wewe ni Tabu Darasa hivyo tuna Kupuuza na kukuhurumia kwa utumbo ulioleta

PS

Naona umeweka kabisa hapo chini na contacts details zako ili ufikiwe kwa urahisi kwenye uteuzi


 
MTatiro ni mwandishi wa makala gazeti LA mwananch
Mtatiro ni mchambuzi wa mambo ya kisiasa
Mtatiro anahojiwa Mara kwa mara na vyombo vya kimataifa na kitaifa
Sasa bila shaka mleta mada ni mchawi na hana kazi ya maana
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com

Kuna watu ambao kweli kodi za wananchi zilitumika vibaya kwa kuwasomesha na bado wakarudi hawajitambui. Nawe muandika uzi huu ni mojawapo. Na hili ndo janga lingine la kitaifa
 
MTatiro ni mwandishi wa makala gazeti LA mwananch
Mtatiro ni mchambuzi wa mambo ya kisiasa
Mtatiro anahojiwa Mara kwa mara na vyombo vya kimataifa na kitaifa
Sasa bila shaka mleta mada ni mchawi na hana kazi ya maana
Tabu sana hawa Vijana wa Lumumba
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
MAULANA, MOLA WETU RHABUKA AMESHUKA NCHINI KWETU TANZANIA. ...NA AMESHA MWEKA RAIS WETU JPJM. ......atakaye mbariki naye atabarikiwa, atakaye mlaani, JPJM atabarikiwa na alaaniye atalaaniwa......MWENYE MASIKIO NA AYASIKIE HAYA
 
Kuna watu ambao kweli kodi za wananchi zilitumika vibaya kwa kuwasomesha na bado wakarudi hawajitambui. Nawe muandika uzi huu ni mojawapo. Na hili ndo janga lingine la kitaifa
Nna Mashaka sana na jamaa kuwa aliishia Standard Seven tu
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
Ameumbukaje sasa! Kaandike tena upya.
 
Back
Top Bottom