Mtatiro aumbuka

Mtatiro aumbuka

JULIUS MTATIRO USIKIMBILIE KUVAA SUTI KABLA YA KUVAA NEPI.

Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com


Umeanza vizuri then unaanza kuwa personal Kwa kum attack.... Huna number yake U mpigie mmalizane wenyewe please?
 
Mnaoandika kwa kumalizia email mnajua mnalenga wapi kwaiyo hatushangai.
 
Maelezo marefuuu,lakini Pumba tu!! hata kichwa cha habari hakiendani na ujumbe
Yani hamna muunganiko kabisa, nimejaribu kuunganisha lakini nimeshindwa, anakwambia eti kugombea ubunge na kushindwa ni unprofessional? Mwalimu wako wa chuo ni lipulipumba nini manake ndo anaweza toa v. Laza na maboko kama wewe.
 
Huenda tukaona makubwa zaidi hapo mbeleni na hatutakua na nafasi tena ya kurejesha maneno ya vinywa vyetu
 
mimi tokea na anza kumsikia ni mtu ambaye hana ishi na roho ya kwa nini au husda.kutokana hajafika yale aliyokuwa hakiwaza.mtatiro asipo angalia siasa ajui kabisa kabakisha ushabiki
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
Urafi=ulafi

That's all I can comment from this thread...
Vingine umepaniki tu
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
Watanzania tuna wajibu wa kukosoa pale panapostahili kukosolewa hata kama huyo tunayemkosoa ni Mkuu wa nchi yetu, kwa kuwa ni sisi wananchi ndiye tumempa dhamana hiyo ya kuliongoza Taifa letu.

Hivi inawezekanaje Mkuu wa nchi akatamka hadharani kule Pemba kwenye hotuba yake kuwa anapendekeza Jecha apewe nishani ya utumishi uliotukuka, wakati hata ndani ya nafsi yake anajua kabisa kuwa Jecha 'aliyapindua' matokeo halali ya uchaguzi huru na wa haki uliofanyika Oktoba 25 mwaka jana?!

Ni kwa nini basi viongozi wakubwa kabisa wa dini na viongozi wastaafu wa kisiasa wa Chama chake nao hawataki kujitokeza na kumwambia mkubwa mwezao kuwa huku uendako mkubwa mwenzetu unapotea njia?!

Kwa kuwa wajibu mkubwa wa Mkuu wa nchi ni kuliunganisha Taifa na si kulitenganisha kwa misingi ya itikadi za kisiasa.......
 
Hii ni post yako ya sita hapa JF, mtu akisoma post zako tano za nyuma atajua tuu kuwa umejiunga JF kwa makusudio gani. Sasa tambua hili sio jukwaa la unafiki na majungu.
Ataishiwa vya kupost soon, ng'ombe aliyekatika mkia wiki iliyopita kafyatua post kila dakika yuko wapi sasa?
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
Mleta post hiyo email address uliyotuandikia hapo ya nini?

Kwa taarifa yako tu nafasi zote za uRC, uDC na maDED tayari zishajazwa...........
 
Kitendo cha Mtatiro kumkubalia Seif kuzidisha wajumbe wa Zanzibar kilinifanya nimdharau sana.
 
Hivi huyu NYARUKURURU ndiye pia leo alianzisha uzi unaosema Chanzo cha matatizo ya kiuchumi Tanzania ni CHADEMA? Kama ndiye, majibu yangu yanaishia hapa...
0a86ccb9-never-argue-with-a-fool-onlookers-may-not-be-able-to-tell-t.jpg
Atakuwa mhamiaji na kahamia juzi juzi kipindi cha oparation
 
Haya tumekusikia..
Mtatiro anawagawa Wafuasi wa Maalim Seif na Wafuasi wa profesa Lipumba.
Mkulu anawagawa watu wa Ccm na watu wa vyama vingine.
Kaa tena halafu andika uzi kwa kulinganisha madhara ya Mtatiro kwa taifa na Mkulu kwa taifa.
 
Hajawahi kuajiriwa tangu amalize chuo...ashawahi kuja kukuomba pesa ya kula?
 
Unaandika zambi badala ya dhambi, hapo ndipo nilipoacha kusoma post yako.
Na vipi ile Urafi wa madaraka hukuiona....
Anhaaaa kumbe uliacha kusoma basi ipoo....mm nlmsamehe nlipoiona zambi nikahisi ni typing error....
Lkn nilpofka kwny urafi....
Nlishindwa kuvumlia aiseee....
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
Uwezo wako wa kufililia bado ni mdogo sana
 
Kuna hadithi ya mfalme mwenye masikio kama ya punda anayeikumbuka atajua tu kuwa dunia haina siri.Ipo siku kila kitu kitadhihirika maana dalili ya mvua ni clouds.
 
Pamoja na matatizo yote ya Mtatiro, alicho mkosoa Rais kilikuwa ni kweli
Sikutegemea kama Rais ange zungumza aliyo ya tamka huko z"bar
Nashangaa dunia kwa kweli kwhyo wale waliohubiri watu wasizikane ndo wako sahihi? Raisi kuachana ukweli wote unafiki tupa kule.
Mwenyekiti CCM JF
 
Back
Top Bottom