Mtatiro aumbuka

Mtatiro aumbuka

akili ya nyakarungu ni ndogo sana yaani mda wote unafikiri usipo ajiliwa basi huna future? watu kama nyie mombasa hamponi.
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com

We kiroboto umesema mtatiro kaumbuka,ni wapi alipoumbuka na nani kamuuumbua
 
I doubt if the writer properly understands the word unprofessional. However what he has written spells out the kind of sperson he or she is
 
Mtatiro hajawahi kugombe cheo chochote cha Kisiasa tangu katoka Tumboni kwa Mama yake akashinda lakini John Magufuli hajawahi kugombea Cheo chochote cha kisiasa akashindwa tangu kazaliwa lakini Mshindwa anamwita Mshindaji ni Unproffesion, labda Profession yenyewe ni kule kushindwa.
Bila ya Kustiriwa na Lipumba nani angekajua haka Katoto!?
 
Kushindwa katika eneo lolote haimaanishi uko poor na kushinda haimaanishi uko smart, ni suala la upepo kukuvumia kunakoweza kukusaidia au kukushusha, mtu kukosolewa haimaanishi hawez kila kitu, yapo mambo anayoyafanya kwa ufanisi mkubwa ilhali yapo mengine anayoshindwa kabisa. Wapo watu walioshindwa katika "carrier" zao mara nyingi lakini wakaja kufanikiwa na kule kushindwa kwao ikabakia historia tu.
 
miahaka hii mitano kama nilivyosema utaisha kwa kusikia na kuona mambo mengi ya ajabu
 
Kuna vitu vingine mtu uko unasoma na unashindwa kuelewa alieandika anafikiri kwa kutumia nini..

Hivi unaweza kutumia matatizo ya mtu mmoja kuhalalisha matatizo ya mwingine??

Hivi unashindwa kutambua kuwa kauli ya mkuu wa nchi inagusa maisha ya kila aliye ndani ya nchi??
 
Nafuu ya watz ni Magufuli kwasasa hata akikosea anasameheka
We mwongo,,magfl watu hawampendi,,ccm wanawalazimisha wananchi tu kwa kupitia maigizo ya vyombo vya hbr kila wakat lkn ukweli ni kwamba hapendeki ppt pale labda kwa wehu km nyakururu
 
NYAKURURU KASOMEA UALIMU HAPO DUCE NA NDIO WANAOSUBIRIA AJIRA,YUKO MTAANI ANA NJAA KALI ANAISOMA NAMBA NDIO MAANA ANAJIPENDEKEZA
 
Ukaamua na kufungua na id mpya kabisa, shame on you
 
Hii ni post yako ya sita hapa JF, mtu akisoma post zako tano za nyuma atajua tuu kuwa umejiunga JF kwa makusudio gani. Sasa tambua hili sio jukwaa la unafiki na majungu.
Achana nae ataishiwa punzi tu..!!

Kuna watu walikuwepo zaidi yake na leo hii hawajulikani walipo ndio ije iwe yeye.
 
mleta mada we bure kabisa, unataka kila mtu asifie watawala?. huo ni mtizamo wake mtatiro. jadili hoja yake badala ya ajira. si lazima kuajiriwa, na isitoshe wenye mambo mazuri ni wale wasio tumikia mabosi ila wanadeal na clients. endelea kulamba miguu ya watawala mpk uote fungus mdomoni.
 
Upinzani wanashangalia kila jambo la chuki linalo fanywa na upinzani... Hawajui kitendo cha Maalim kukataa kumpa mkono Shein.. Na mtatiro alipongeza...
Kama mkono Una harufu ya damu na wewe RAIA mwema ukiushika ujue utakuwa matatani
 
Kuna dada mmoja kajitambulisha kama mkurya wa kwanza kuimba taarabu, Kama hili jina sio yale ya wenye vyeti feki, basi wewe utakuwa mkurya wa pili kuimba taarabu! Hakuna mkurya tena mwanaume mwoga na mwenye maneno ya kike kama wewe Mura.
 
Mtatiro akiajiliwa ndio nini? Kuna watu kama akina Dewji hawajaajiliwa hata siku moja lakini wanaishi maisha safui kuliko wewe uliyeajiliwa na kusubiri hako ka posho kako ka mwisho wa mwezi
 
Naona baada ya kujikomba komba kwa mhishimiwa umeweka na email yako kabisa ili akutafute kukupa nafasi ya yule DED ambaye hajaripoti kazini mpaka sasa! Daah kweli ajira ngumu.
Hahahaa
 
Ndugu zangu watanzania ninaandika makala hii kwa masikitiko makubwa juu ya kaka yangu na ndugu yangu Mtatiro, sijui kalogwa na nani? sijui ana stress za nini?, sijui kwasababu ya kukosa kazi?

Nina imani kaka yangu Mtatiro anafanya haya yote kwakukosa kazi, maana nakumbuka tangu amalize chuo hajawahi kuajiliwa sehemu yeyote ile, alipomaliza chuo aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa haki za binadamu wa Cuf na baadae kuwa Naibu Katibu mkuu wa Cuf Bara,cheo alichodumu nacho mpaka uchaguzi uliopita ambapo hakuchaguliwa katika cheo chochote kile.

Ndugu msomaji kuanzia muda huo mpaka sasa Mtatiro amekuwa akilandalanda mtaani bila kazi maalumu.

Nimeamua kuandika Maneno haya kwasababu Mtatiro amemkosoa vikali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Magufuli kwa speech yake aliyoitoa Pemba, akiita kuwa ni ya Kibaguzi inawagawa Wazanzibari na kumwita Mh,Rais "unprofessional"

Maswali ya kujiuliza hapa kuhusu ndugu Julius Mtatiro ni;
1,Mtatiro amepewa kazi ya kusimamia mkutano mkuu wa Cuf ukamshinda, yeye na Katibu mkuu wa Cuf mh,Seif wakaongeza wajumbe fake na kutofuata katiba ya Chama, mkutano huo ukavurugika wakati pesa za watanzania wanazolipa kodi na Cuf hupewa kama ruzuku zaidi ya milioni 600 zikaliwa bure. Je kati ya Mh,Rais Magufuli na Mtatiro nani hapa ni unprofessional?

2,Mtatiro amegombea Ubunge mara 2, mwaka 2010 kagombea Ubungo,mwaka 2015 kagombea jimbo la Segerea kote kashindwa lakini mh,Rais kagombea mara 4 ubunge na Urais mwaka Jana na zote kashinda, Je kati ya Mh,Dr.Magufuli na Mtatiro nani unprofessional?

3,Mtatiro kama mjumbe wa mkutano mkuu Cuf ameshindwa kumshauri Maalimu Seif na Lipumba waweze kuelewana ili chama kisibomoke, Je Mtatiro ni professional?

4,Mtatiro kashindwa kumshauri Maalimu seif Sharifu agombee Urais Zanzibar na Wabunge na sasa Chama kinakufa Zanzibar kwakukosa ruzuku, Je wewe Julius Mtatiro ni Professional?
5,Maalimu Seif Sharifu amekuwa akitoa kauli za kibaguzi akitaka Zanzibar ijitenge iachane na Muungano na Mtatiro hajawahi kusema chichote. Je kati ya Seif anayetaka Muungano uvunjike na Mh,Rais Magufuli kauli yake aliyoitoa Pemba ya kusema bahati nzuri Shein anatoka Pemba nani mbaguzi?, nani mkabila? nani mroho wa madaraka?

Bila shaka ndugu msomaji utanielewa kwanini nimesema Mtatiro anakimbilia suti kabla ya kuvaa nepi, wewe Mtatiro kwanza ondoa ukabila na urafi wa madaraka ulioko Cuf ndo uanze kukosoa Mh,Rais na kimsingi hakuna kitu alichokosea ispokuwa uroho wako wa madaraka na yawezekana pengine unatafuta ajira kwa Mh,Rais maana mimi ninaamina hauna ajira tangu umalize chuo kikuu Cha Dar.

Ndugu watanzania na wana Cuf wenzangu, naombeni niwambie mtu wa kuogopa kama ukoma Cuf ni Julius Mtatiro na Maalimu Seif Sharif Hamadi ndio wanaoibomoa Cuf kwa urafi wa madaraka, Mtatiro amekuwa akipambana kila namna kuhakikisha anakuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na ndo kisa cha kumfukuza Magdalene Sakaya na njia wanaoitumia ni ya Uzanzibar na Ubara, kwasasa wamewagawa wajumbe kwa ukanda kwahiyo kuweni makini wana Cuf.

Zambi ileile anayoitenda Cuf ndo anataka kuileta kwa Rais wa Tanzania kwa kumwita mkabila na unprofessional wakati yeye Mtatiro ndie mwenye makandokando yote haya.

Mtatiro hana ethics za uongozi amekuwa waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi UDSM na makamu wa Rais TAHILISO kazi ikamshinda kafukuzwa chuo, sababu kubwa ya kufukuzwa ni kukurupuka.

Ushauri wangu kwa Julius Mtatiro ni kwamba sio kila kauli ya Rais ukosoe ili kupata popularity kwa watanzania,ukosoaji mwingine unajishushia heshima, pia watanzania tunajua muongo na mkweli na kama wewe ni professional ijenge Cuf kwanza, na muelimishe Seif Sharif Hamadi aache ubaguzi na Udikiteta wa kukataza wenzie kugombea na sasa wanakufa njaa wakati yeye analipwa na serikali.

Zaidi ya hayo nikuombe mh,Rais Dr.Magufuli Ukaze kamba, wala usiwasikilize hawa wanaojifanya wakosoaji wakati ya kwao yamewashinda,na tumegundua wengine hawana ajira ni wasakatonge kama huyu Mtatiro.
Imeandaliwa na wenu,
Mwita Nyarukururu
mwitanyarukururu@gmail.com
sasa ameumbuka vipi hapa? Mwanasiasa lazma afanye kazi yake ya kisiasa
 
Pamoja na ujinga mwingi ambao uyo jamaa kaandika,kusema Mtatiro hajawahi kuajiriwa,kumaliza Chuo c mpk uajiriwe unaweza kujiajiri,kwani anaishije? Utakuwa umetumwa na Lipumba nyumbu ww.
 
Pale unapokariri na kuwa mtumwa wa kuajiriwa. Endelea kusubir ajira ,wenzako wana miradi inawaingizia pesa.. Shame on u


Kwa akili yako fupi kile alichokiengea mkuu wa nchi ni sahihi.. Acha upuuz
 
Back
Top Bottom