Mtatiro alifanya Wrong choice...

Mtatiro alifanya Wrong choice...

Mkuu dikembe, nakubaliana na hoja yako. Ni kweli Julius Mtatiro alikuwa kiongozi shupavu UDSM. Na alianzia kuwa Waziri wa Mkopo kabla ya kuwa Waziri Mkuu chini ya Serikali ya Deo. Lakini, kwakuwa yeye ni mtu mzima,yuko sahihi kufanya na kuamua atakavyo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu dikembe, nakubaliana na hoja yako. Ni kweli Julius Mtatiro alikuwa kiongozi shupavu UDSM. Na alianzia kuwa Waziri wa Mkopo kabla ya kuwa Waziri Mkuu chini ya Serikali ya Deo. Lakini, kwakuwa yeye ni mtu mzima,yuko sahihi kufanya na kuamua atakavyo.
Aksante kwa muongozo mkuu.. But mimi kama mimi nadhani ni moja ya watu ambao walihitajika kwenye kuleta mapinduzi ya kweli, kwa kweli hatufaidi huduma ya huyu jamaa, ndani ya CUF haleti changamoto kwa CCM.
Kuondoa CCM madarakani na bila kuja kujuta nadhani Julius ni chaguo namba moja, lakini ni vigumu kwa yeye kupitia CUF..
Labda hatambui uwezo wake..
 
Mtatiro ana akili kubwa hawezi kujiunga na wenye akili ndogo!

Si unajua matokeo yake kwa wenye akili kubwa wenzake kama kina Kitila na Zitto, wako wapi sasa hivi?

Wameshabadilishwa na majina sasa hivi wanaitwa wasaliti!

Kwa musimo wa Mtatiro na akili alizo nazo hangekubaliana na wasaliti kama Zitto na wenzake waliokuwa wanalipwa 150,000/=na Zitto pamoja na kuwa na elimu kubwa.
 
Kwa musimo wa Mtatiro na akili alizo nazo hangekubaliana na wasaliti kama Zitto na wenzake waliokuwa wanalipwa 150,000/=na Zitto pamoja na kuwa na elimu kubwa.
Tamaa ndio mwanzo wa usaliti, zito na mwenzake waliingiliwa na tamaa, naamini kwa sasa wanajuta na kusaga meno. kila kitu kimeharibika.
 
Maoni yako ni mazuri sana kulingana na uhalisia wa mambo unayoyajua. Ila hapo ulipoweka jina la mh.Zitto utakuwa umetibua NYONGO za watu na hivyo mada yako hii nzuri kuchangiwa ndivyosivyo...
ZZK kiboko ya wachaggambuzi.
 
Huko huko alipo yupo sahihi kabisa, nakumbuka hata zitto alijiunga chadema ikiwa haina umaarufu kiivo lakini yeye kama yeye alijipatia umaarufu na hadi leo ni maarufu kuliko chama chake. Hivyo basi na mtatiro akazane na kupambana aweze kufanikiwa watu hawachagui chama wanachagua mtu.

Ni mawazo yangu.
 
Huko huko alipo yupo sahihi kabisa, nakumbuka hata zitto alijiunga chadema ikiwa haina umaarufu kiivo lakini yeye kama yeye alijipatia umaarufu na hadi leo ni maarufu kuliko chama chake. Hivyo basi na mtatiro akazane na kupambana aweze kufanikiwa watu hawachagui chama wanachagua mtu.

Ni mawazo yangu.
Kumbuka ZZK alipata chama chenye watu wenye kutoa changamoto..Sio sawa na CUF. CDM kimeundwa na wakali watupu so kupitia hao na yeye pia juhud zake akapita kirahisi. Naamini watu wachache sana wanamtambua mtatiro
 
Uchambuzi wako ni mzuri, mtu kama Mtatiro alifaa kuungana na Chadema kwa sasa, kwa sababu malengo ya kuwatetea wanyonge, kwa sasa hawezi kuyatimiza akiwa Cuf, kama akiungana na makamanda hilo linawezekana, huo ndio ukweli, kama lengo ni moja kuing'oa ccm ili kuwakomboa wanyonge, basi hana budi kuungana na Chadema, ila kama lengo lake ni vyeo na kupiga shilingi, basi abaki hukohuko.
 
mtatiro hajielewi ndo maana yuko cuf,pale anapiga zake pesa za ruzuku kimya kimya ...
 
uchambuzi wako ni mzuri, mtu kama mtatiro alifaa kuungana na chadema kwa sasa, kwa sababu malengo ya kuwatetea wanyonge, kwa sasa hawezi kuyatimiza akiwa cuf, kama akiungana na makamanda hilo linawezekana, huo ndio ukweli, kama lengo ni moja kuing'oa ccm ili kuwakomboa wanyonge, basi hana budi kuungana na chadema, ila kama lengo lake ni vyeo na kupiga shilingi, basi abaki hukohuko.
very correct...hatuwezi kujua , sababu ni muda umepita toka afanye revolution udsm, so anything is possible, labda kachoka to be real without benefit ndo kaamua kupiga shilingi kwa hivyo vyeo vinavyo mzeesha bila recognition.
 
mtatiro hajielewi ndo maana yuko cuf,pale anapiga zake pesa za ruzuku kimya kimya ...
labda hajui uwezo wake,anahitaji mtu amfumbue macho,,but kama yuko humu jf nadhani atajitambua na kuusoma mchezo.
 
Mbona nasikia sharti la kupewa unaibu katibu mkuu ilikuwa inaambata na kubadili dini ?.

Ila kiukweli jamaa inaonesha anaroho ngumu. Nakumbuka mwaka jana Mwenyekiti wake lipumba alikuwa akihutubu msikiti mmoja pale kariakoo na kuwaambia waislamu kuwa wenzao wakrusto wana chama chao kwa hiyo na wao waislamu wa uchukue hatua. Sijui mtatiro yy dini gani. Au maslahi kwanza?
 
Huyo Mtatiro atajiungaje na saliti!!! Anajua kabisa ZZK si mkweli ila anatumika!!! Kama alikataa kuwauza wanachuo kama wafanyavyo viongozi wengine wa elimu ya juu je atakubali kununulika na ZZK? Mtatiro ni wa msimamo hawezi kuwa na masalia na wasaliti. Aende CDM ni imara na cha ukweli ndiyo maana wanatimua wasaliti wote.
 
Back
Top Bottom