Mtatiro alifanya Wrong choice...

Mtatiro alifanya Wrong choice...

mbona nasikia sharti la kupewa unaibu katibu mkuu ilikuwa inaambata na kubadili dini ?.

sina hakika na hili mkuu, ila sio rahisi kwa mtu kama julius kwa jinsi ninavyo mjua.
 
huyo mtatiro atajiungaje na saliti!!! Anajua kabisa zzk si mkweli ila anatumika!!! Kama alikataa kuwauza wanachuo kama wafanyavyo viongozi wengine wa elimu ya juu je atakubali kununulika na zzk? Mtatiro ni wa msimamo hawezi kuwa na masalia na wasaliti. Aende cdm ni imara na cha ukweli ndiyo maana wanatimua wasaliti wote.
nadhani huku ndiko kuna mfaa, lakini kuachia hiyo nafasi ni vigumu sana, nadhani cuf wametambua uwezo wake ndio maana wakamfunga
 
nadhani huku ndiko kuna mfaa, lakini kuachia hiyo nafasi ni vigumu sana, nadhani cuf wametambua uwezo wake ndio maana wakamfunga

Sure mkuu wangu, wao walimdaka fasta ila sasa CUF na SSM ni wamoja tu!!! Umesahau kuna MOU Zenj ambako ndiko iko imara!!! Na hata bara imeenea sumu hiyo kwa hiyo CUF = SSM!!!
 
Ccm tumeichoka kabisa.kwenye miaka ya 2oo5 nadhani kama siko wrong kuna kijana alikua anagombea urais wa udsm aliitwa odong odwar, alikua mganda. Jamaa alikua ana power sana na uwezekano wa kuwarais wa chuo ulikua 90%. Baada ya uongozi wa chuo kuona jamaa ana nguvu sana na ana madhara basi walishirikiana na polis wakamsingizia jamaa kua ana kadi ya chama cha siasa, kitu ambacho ni kinyume na sheria kwa mtu ambaye sio raia. Ila walimbambikizia baada ya kwenda kumsachi kwake huko mikocheni. Jamaa akafukuzwa chuo na kupelekwa hadi uganda kwa kusindikizwa na polisi wetu. Dah, hii kitu iliniuma sana.
 
Akili za Mbowe na Mtatiro haziwez kukaa pamoja
 
Mbona nasikia sharti la kupewa unaibu katibu mkuu ilikuwa inaambata na kubadili dini ?.

Watu wa Chadema sasa hivi mnapenda udini mara ACT ni chama cha kidini mimi naona Chadema na CCM ni baba mmoja mama ndio tofauti.
 
Julius ni mkristo, ndio maana nasema sijui kwa nini alimade such decision?..
Tunamhitaji sana bwana Julius
Mbona udini mnauweka mbele sasa, kwani huko aliko hawezi kuleta mabadiliko ya kweli?
 
Mkuu Boko haram sijawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA wala chama chochote cha siasa.

Watu wa Chadema sasa hivi mnapenda udini mara ACT ni chama cha kidini mimi naona Chadema na CCM ni baba mmoja mama ndio tofauti.
 
Last edited by a moderator:
mbona udini mnauweka mbele sasa, kwani huko aliko hawezi kuleta mabadiliko ya kweli?
hapana mkuu, nlikua namjibu jamaa kwani alisema naibu katibu mkuu wa cuf shart uwe muislam, ndio nkamkatalia.
 
mtatiro bado ni jembe mimi na mkubali sana,katika swala la kusimamia haki mtatiro hatetereki kabisa
 
Uko sahihi mkuu jamaa jembe,nadhani mtatiro anastahili kuungana na jembe mwenzie mbatia kwani nionavyo mm baada ya anguko la CDM ,NCCR kitarudi tena kuwa na nguvu kubwa kama ya 1995 kwani Mbatia naye anafanya vizuri na watu wanamkubali sana kwa sasa
 
Sasa ulitaka ajiunge CDM naamini tayari kwa sasa angelishafukuzwa kwani viongozi wa chadema hawapendi vijana wasomi kwa hofu ya kuporwa uongozi wa juu,
 
Kama mtu anakipawa cha kuongoza ama yuko msitari wa mbele kupigania haki za wanyonge then vyama si lolote.

Mf.Kwa nafasi aliyonayo pale CUF tungekuwa tushaona hayo machachali yake!

Mbona Kinjekitile Ngwale aliweza kuwa-mobilize watu pasi kuwa mwanachama WA chama chochote?Ken Saro Wiwa je?

Kama CUF hapamfai then CDM si sehemu sahihi kwake unless akubali kubuluzwa na wenye chama
 
Ninavyo muonaga huyu jamaa hakika anasthiri kuwepo kwenye timu ya ushindi ya CDM, well nadhani yupo cuf kwa mkopo!
 
Mtatiro yupo cuf kimaslahi kwa cheo chake lkn reality yupo chadema,mm ni mtu wangu wa karibu sana
 
Yupo kule strategically. Angekuwa CHADEMA asingepata ulaji mkubwa kama alionao CUF. Muda mfupi tu amekuwa na maendeleo makubwa....!! Mwenzio anakula na Vipofu..na si unajua kanuni zake?.
 
Kwenye Maisha unaweza kufanya jambo bila kuangalia standard yako, sio kusudi but hua inatokana na kutokufahamu uwezo wako na umuhimu wako katika maisha yako na jamii inayokuzunguka.

Lengo langu hasa ni kumhusu jamaa mmoja ambaye kapewa nafasi ya juu kwenye Chama cha siasa nchini (CUF), Nlisoma nae UDSM, alikua kiongozi imara na asiye tetereka kwa wale mnaomjua nadhani mtakubaliana nami, jamaa anajulikana kwa jina la Julius Mtatiro.

Kipindi tuko University alikua waziri mkuu na aliweza kusimamia mambo mengi bila woga na hata alipopata upinzani toka kwa raisi na waziri wa mikopo(Bush) jamaa hakujali na kuweka misimamo kwa manufaa ya wanafunzi wa hali ya chini. Sakata la wakati huo lilikua Kuanza kwa 40%. Wanafunzi wote tulipinga kwa msaada mkubwa wa Bwana Mtatiro Julius tulifanikiwa na kuanza kwa mean testing.

Rais wa Chuo na waziri wa Mikopo walipewa namna na serikali ya CCM, ili kusimamisha migomo na kutushurutisha wanafunzi wote tuache migomo, but Julius alikataa na kuwa pamoja nasi, mpaka ikamsababishia matatizo baada ya kusimamishwa chuo.
Kitu kinachoniuma mpaka kukaa kitako na kuchora waraka huu ni kutokana na Julius kujiunga na chama chenye nguvu hafifu kwa na kusababisha kupoteza nia yake.

Hua naamini kama angekua kwenye chama pinzani chenye nguvu basi hata mtu kama ZZK angekua anafuta nyuma tu, sababu jamaa yuko halisi sana.

Hayo ni mawazo yangu na maono binafsi.

Aiseee pokea likes zangu buku,ni kweli ule msimamo wa mtatiro ulikua wa hali wa juu,nakumbuka mi naingia 1st yr 2006 namkuta mtatiro anahutubia wanafunzi pale cafteria one rev sq dah afu kila mwanafunz akipata tatizo kimbilio lilikua kwa huyu jamaa, sio siri angejiunga cdm angeongeza nguvu ya kuikomboa hii nchi kuliko huko kwa mrs ccm.
 
Back
Top Bottom