Mtarajiwa wangu simuelewi

Mtarajiwa wangu simuelewi

Maisha yake kwa ujumla yapo vipi???

Anakazi?Ana account walau ya milion 4 apart from kazi???

Amefika miaka 28+?


Una enjoy sex kwenye mahusiano yako???

Ukipata jibu pa hapana kwenye hayo maswali inaeezekana ndo sababu siamini kama hakupendi angekuwa keshakuacha zamani by the way don't force things
 
Habari wana jamii.

Naomba mnisaidie yapata miaka mitano sasa toka nimekuwa naye kwenye mahusiano na tukapanga kuoana mwaka huu mwez wa 4 huu mpango tuliuweka toka mwaka 2012.

Cha ajabu namuuliza tarehe yakuja nyumban anijibu, nikimtumia SMS hajibu nikipiga simu hapokei na yeye yupo Mbeya me npo Mwanza.

Na hapo nyuma nimekataa wachumba wengi sana kwa ajili yake, nipo njia panda sijui chakufanya, mawazo yenu ni ya muhimu sana.

Hii ndoa ilikuja kupatikana?.... maana mimi kila nikisoma ID yako (put in) nasisimka
 
Mrejesho tafadhali. Hili swala lili ishaje.
Habari wana jamii.

Naomba mnisaidie yapata miaka mitano sasa toka nimekuwa naye kwenye mahusiano na tukapanga kuoana mwaka huu mwez wa 4 huu mpango tuliuweka toka mwaka 2012.

Cha ajabu namuuliza tarehe yakuja nyumban anijibu, nikimtumia SMS hajibu nikipiga simu hapokei na yeye yupo Mbeya me npo Mwanza.

Na hapo nyuma nimekataa wachumba wengi sana kwa ajili yake, nipo njia panda sijui chakufanya, mawazo yenu ni ya muhimu sana.
 
Huyo keshapata wa kumuhudima huko atakuelewa wewe na wao mapenzi yao ni moto sasa
 
Back
Top Bottom