Mkuu nisiwe muongo, mimi personally haijawahi nitokea but na mimi nasikia tu. Kuna wakenya walinambia walipata tabu kupata room kwasabu ni mablacks.Hongera Mkuuu kupiga kitabu Ng'ambo, wengne tumetafuta hizo fursa zimegoma. Hope kupitia hili jukwaa utapata wadau. Vip level ya Ubaguzi ikoje huko maaana naskia jamaa watata sana.
Holla !! Umenikumbusha mbali sana Mkuu,
Spain nimefunga miji mitatu,Valencia,Barcelona na Algeciras. Kuna wanawake wazuri sana,kuna club tulienda Algeciras basi mwanamke kulala nae nusu saa tu $300..Barcelona kuna vibaka hatari wale wa kuchomoa na kukimbia.
Unatafuta wenzako JF iliyojaa majina fake mjadala fake kila kitu fake km wachina Nenda ubalozini utawapata Hapa unakutana fakeWana JF natafuta mtz yoyote ambaye yupo Spain. Nimekuja Spain kishule lakini ningependa kukutana na wabongo wenzangu, tubadilishane hata mawazo
fakeLess than 3 days,Ni katika Seaman club.Mkuu ulikaa how long? ahhaahaha,, watoto wapo ila hiyo walikupiga sana,, maana kuna wa hapa nje ya camp nou, BJ euro 10 showtime Euro 30,, ahahah wanasumbua sana kama wa Buguruni pale,,, maana napita kila siku usiku nikitoka xcul.
Unatafuta wenzako JF iliyojaa majina fake mjadala fake kila kitu fake km wachina Nenda ubalozini utawapata Hapa unakutana fakefake
upo muda gani huko?Mkuu ulikaa how long? ahhaahaha,, watoto wapo ila hiyo walikupiga sana,, maana kuna wa hapa nje ya camp nou, BJ euro 10 showtime Euro 30,, ahahah wanasumbua sana kama wa Buguruni pale,,, maana napita kila siku usiku nikitoka xcul.
Ulizia wizarani watakupatia viongozi wa watanzania wanaoishi hukoTatizo Tz hawana Ubalozi spain boss
nina almost miezi mitano now huku,, toka july.upo muda gani huko?
Just nalinda privacy yangu,ila ningekuonesha hapo club kulivyo,wanawake wa huko hata English hawajui.Walituona wamarekani weusi kumbe wabongo tu.
Ulizia wizarani watakupatia viongozi wa watanzania wanaoishi huko
Huko wakikamata mwizi awawachomi moto kama huku kwetu uswazHolla !! Umenikumbusha mbali sana Mkuu,
Spain nimefunga miji mitatu,Valencia,Barcelona na Algeciras. Kuna wanawake wazuri sana,kuna club tulienda Algeciras basi mwanamke kulala nae nusu saa tu $300..Barcelona kuna vibaka hatari wale wa kuchomoa na kukimbia.
aahahhahah,, haya bhana. Nipo huku boss nina muda sana now,, ingekuwa lengo ni hilo ningekuwa nimepost toka zamani tu. Shida hapa TZ hawana Ubalozi,
hahaha thubutu,kuchoma moto huku Africa tu...haha nafikiria negro akimkimbiza mzungu mwizi..Na sijui utamuonea wapi maana baadhi ya mitaa kuna vichochoro hatari..Huko wakikamata mwizi awawachomi moto kama huku kwetu uswaz
ok,ila fuatia ulichojia achana na habari za kutafuta wabongo Abroad.. watakuzamisha..Ndo maana natafuta wabongo mkuu,, maana huku language ni barrier kinoma,, hata ukijifunza kispain bado kuna wengine hawajui hicho kispain wanajua kicatalan tu.
Honey Faith unampango wa kuja huku nini?Lini unarudi bongo?
Jamaa yangu anaitwa Didah, yupo jela huko huko Spain, ngoja niwaulize ndugu zake contact na jina la jela anayoishi.
