Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 6,053
- 22,637
Hakuna tatzo , maana badae nitayachambua🤣🤣Mimi nina mawazo ya kichizichizi.Vipi,unapenda nije tubadilishane na ya kwako
🤣🤣🤣🤣Vyura😀😀😀
Ni kufahamiana tuuUpweke
Hapo umenena. Tupe na madeal ya kufika uko na sisiNi kufahamiana tuu
FactJamii forum, the home of GT
Ndo ivoHapo umenena. Tupe na madeal ya kufika uko na sisi
Hapana ndugHuyu atakuwa amebetia hanoi fc halafu imechana mkeka syo bure.
🤣🤣 huwa unatumia ?Vyura😀😀😀
Unaandaa safar unakuja tu mkuu, reason tourHapo umenena. Tupe na madeal ya kufika uko na sisi
🤣🤣🤣 aliepo karibu, kwa hekima nitamfuata.Nipo hapa miti mirefu hanoi
Hiyo miti mirefu ya mwanza mkuu au😂?🤣🤣🤣 aliepo karibu, kwa hekima nitamfuata.
Kama kweli upo hapo hanoi, niliwahi kufika mwaka jana hapo jiji la hanoi nlipenda sana kwenda club moja inaitwa pearl club(sikujuta) ipo ufukweni mwa bahari, aisee kuna mabinti wa kithailand na wafilipino halafu hawana ubaguzi(naomba mengne ninyamaze nayo).. Lakn nlpenda sana mtaa wa soko kuu la dong xuan, hapa unapata kila kitu. Halafu kuna kule maeneo ya trang tien..Hapana ndug
Sana tena ila wa jinsia ya kike.🤣🤣 huwa unatumia ?
Sawa ndg yangu, nikipata mda mzuri nita tembelea eneo lako pendwa🤝Kama kweli upo hapo hanoi, niliwahi kufika mwaka jana hapo jiji la hanoi nlipenda sana kwenda club moja inaitwa pearl club(sikujuta) ipo ufukweni mwa bahari, aisee kuna mabinti wa kithailand na wafilipino halafu hawana ubaguzi(naomba mengne ninyamaze nayo).. Lakn nlpenda sana mtaa wa soko kuu la dong xuan, hapa unapata kila kitu. Halafu kuna kule maeneo ya trang tien..
MWAKANI MWEZI WA TATU NARUDI TENA, inyeshe mvua liwake jua, aisee pearl club ni nzuri kwangu