Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Habari zilizonifikia sasa hivi zinasema mtanzania mmoja jina sijafanikiwa kulipata anashikiliwa na mamlaka za uwanja wa ndege wa amsterdam nchini uholanzi kwa tuhuma za kutengeneza tiketi bandia za kusafiria
mtanzania huyo wa makamo ya kati mwenye familia yake hapa dar es salaam amekuwa anatafutwa na mamlaka nyingi za uwanja wa ndege kwa biashara zake hizo za kuuza tiketi bandia watu pamoja na yeye mwenyewe kuzitumia
taarifa zinasema ametakiwa alipe gharama fulani ili aweze kupewa dhamana huko huko uholanzi ili apelekwe katika nchi zingine anazotafutwa kwa tuhuma hizo hizo
mtanzania huyo wa makamo ya kati mwenye familia yake hapa dar es salaam amekuwa anatafutwa na mamlaka nyingi za uwanja wa ndege kwa biashara zake hizo za kuuza tiketi bandia watu pamoja na yeye mwenyewe kuzitumia
taarifa zinasema ametakiwa alipe gharama fulani ili aweze kupewa dhamana huko huko uholanzi ili apelekwe katika nchi zingine anazotafutwa kwa tuhuma hizo hizo