nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Bunge la magufuli na ndugaiIla kama hawatmbulik na vyama vyao mbona wapo bungeni?
Bunge la magufuli na ndugaiIla kama hawatmbulik na vyama vyao mbona wapo bungeni?
Then, tusiandikie mate...Hapa hapa jf au kati ya watu unao jibizana nao kati yao wapo kwenye hiyo cc ya cdm .
Wanajua nini kitawatokea hao covid na siyo siri hawana tena nafasi ndani ya cdm.
Hata kama watakuwa wanatumia fedha zao kuwahonga watu wawatetee haita wasaidia.
Tupo awamu ya 6 lakini ujueBunge la magufuli na ndugai
Wewe mlelee Madelu mtoto wake na habari za siasa tuachie sisi watia mimba
Kisa halipo kwa mtangazaji, unazani ungekuwa wewe ungesema ni wabunge kupitia chama kipi ihali wapo bungeni?.Juma Kapalatu ambaye ni mtamgazaji anaye ripoti habari za bunge hajitambui au anafanya makusudi.
Tangu jana amekuwa anawatambulisha wabunge wa viti maalumu 19 walio vuliwa uanachama na chadema eti ni wabunge wa chadema.
Hili ni kosa kwa mwana habari kufanya makusudi kupuuza maagizo na maamuzi halali ya chama cha siasa hapa nchini.
Kama atakuwa anatumika na wahusika kwa manufaa yao basi tunamuomba muajili wake amuwajibishe kwa kujihusisha kuvunja kwa makusudi maamuzi ya chama.
Kama uko na uwezo huo na ufanye..!Mwaka huu lazima tuwarudishe kwenu burundi
cha mekoUlitaka awatambulishe wanatoka chama gani?
Meko huyu huyu wa Ufipa!cha meko
Kuna mbunge kule bungeni ambae ki taaluma ni afisa Ustawi wa jamii lakini kimatamshi hajui kutofatisha R na L.
Ha ha haKwa kichwa hiko cha uzi nikadhani amezimia..
Mahusiano baina ya watu ni right to privacy, sihitaji kuwataja ila wana Chadema wa ukweli wanajua jinsi wabunge wa viti maalum Chadema, wanavyopatikana!. Kuna wake za watu, wapenzi wa watu, hadi vidumu vya hao hao wajumbe wa CC. Wewe subiria tuu uamuzi wa vikao vya juu vikiisha wasamehe ndipo utaelewa naema nini humu!.
P
Pole, ile kitu ni habari nyingine, alishindwa Samson na miguvu yake yote, mbele ya Delilah kwisha habari yake!, watakua hao CC ya Chadema?.Umenikata maini hasa nikiangalia chapuo waliyompigia Dr Hosea kwenye uchaguzi wa TLS inawezekana ukawa mrithi asiye na mpinzani wa sheikh Yahya, ngoja tuone kama kweli watasamehewa basi bora tugawane fito
Mpeni stop order ya mahakama ili asiwatambulishe kama Wabunge wa Chadema. Bila hivyo, hao ni Wabunge wa Chadema whether mnaumia au la!Juma Kapalatu ambaye ni mtamgazaji anaye ripoti habari za bunge hajitambui au anafanya makusudi.
Tangu jana amekuwa anawatambulisha wabunge wa viti maalumu 19 walio vuliwa Uanachama na chadema eti ni wabunge wa CHADEMA.
Hili ni kosa kwa mwana habari kufanya makusudi kupuuza maagizo na maamuzi halali ya chama cha siasa hapa nchini.
Kama atakuwa anatumika na wahusika kwa manufaa yao basi tunamuomba muajiri wake amiwajibishe kwa kujihusisha kuvunja kwa makusudi maamuzi ya chama.
Kwani huyo mtangazaji anaripoti habari za Chadema au anaripoti habari za Bunge? Juma Kapalatu yuko sahihi maana Bunge halijatamka kwamba hao Wabunge 19 wa Chadema wametimuliwa uanachamaJuma Kapalatu ambaye ni mtamgazaji anaye ripoti habari za bunge hajitambui au anafanya makusudi.
Tangu jana amekuwa anawatambulisha wabunge wa viti maalumu 19 walio vuliwa Uanachama na chadema eti ni wabunge wa CHADEMA.
Hili ni kosa kwa mwana habari kufanya makusudi kupuuza maagizo na maamuzi halali ya chama cha siasa hapa nchini.
Kama atakuwa anatumika na wahusika kwa manufaa yao basi tunamuomba muajiri wake amiwajibishe kwa kujihusisha kuvunja kwa makusudi maamuzi ya chama.
Mliwaambia wasipokubali wakate rufaa na wakakata, mwambie Mbowe alete majibu ya rufaa.Hilo swali ni vema tukamuuliza Ndugai
Kwa 100% hayo majibu yatawatupilia na kuwafyekelea mbali hao virusMliwaambia wasipokubali wakate rufaa na wakakata, mwambie Mbowe alete majibu ya rufaa.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Tushamaliza kazi tayari karudishwa na hii ndiyo nguvu ya mitandao ya jamii.Kwani huyo mtangazaji anaripoti habari za Chadema au anaripoti habari za Bunge? Juma Kapalatu yuko sahihi maana Bunge halijatamka kwamba hao Wabunge 19 wa Chadema wametimuliwa uanachama
Pole sana Pascally naona bado unatafuta ni gia ipi inakufaa kuingia nayo kwenye hii awamu ya 6.Pole, ile kitu ni habari nyingine, alishindwa Samson na miguvu yake yote, mbele ya Delilah kwisha habari yake!, watakua hao CC ya Chadema?.
P
Hakuna gia tena,ameshakuwa makapi, Kama ilivyo kwa ndugu Msiba,Pole sana Pascally naona bado unatafuta ni gia ipi inakufaa kuingia nayo kwenye hii awamu ya 6.