Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,903
- 95,182
Juma Kapalatu ambaye ni mtamgazaji anaye ripoti habari za bunge hajitambui au anafanya makusudi.
Tangu jana amekuwa anawatambulisha wabunge wa viti maalumu 19 walio vuliwa Uanachama na chadema eti ni wabunge wa CHADEMA.
Hili ni kosa kwa mwana habari kufanya makusudi kupuuza maagizo na maamuzi halali ya chama cha siasa hapa nchini.
Kama atakuwa anatumika na wahusika kwa manufaa yao basi tunamuomba muajiri wake amiwajibishe kwa kujihusisha kuvunja kwa makusudi maamuzi ya chama.
Tangu jana amekuwa anawatambulisha wabunge wa viti maalumu 19 walio vuliwa Uanachama na chadema eti ni wabunge wa CHADEMA.
Hili ni kosa kwa mwana habari kufanya makusudi kupuuza maagizo na maamuzi halali ya chama cha siasa hapa nchini.
Kama atakuwa anatumika na wahusika kwa manufaa yao basi tunamuomba muajiri wake amiwajibishe kwa kujihusisha kuvunja kwa makusudi maamuzi ya chama.