Maoni: Mbinu ya Ushindi kwa Simba SC Leo 29.03.2024 dhidi ya Al Ahly

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,413
11,065
Shalom,

Simba SC Leo inatakiwa icheze kwa namna ifuatayo.
1. Umakini kwa dakika zote
2. Kucheza kwa speed dakika zote
3. Ujumuishi na haraka katika kulifikia lango la Al Ahly.
4. Kushambulia kwa pamoja na kukaba kwa pamoja, tunaenda wote na kurudi wote.
5. Wanaocheza 7 na 11 wajibu wao pia ni kusaidia mabeki wao dhidi ya hatari.
6. Kutokabia macho
7. Ikilazimu faulo ifanywe mapema kabla ya eneo la hatari.
8. Kutokumtegemea refa au kibendera kwenye offsides.
9. Kupunguza makosa yasiyo ya lazima.
10. Njaa, kiu ya ushindi na kupigania Jezi na brand ya Simba SC.
11. Kutoruhusu open space za mashuti na Kona nyingi pamoja na faulo nje ya 18.
12. Matumizi ya kila nafasi ya kufunga inipopatikana.
13. Utimamu wa mwili, kujitambua nini Cha kufanya with or without the ball, speed na kiu ya ushindi ndio nguvu leo.
14. Quick anticipation, space marking, dribbling past two or three will be key in final third unlocking low block and slow game by opponents.

Ni hayo tu

Wadiz
 
Hakuna Simba yenye akili na uwezo huo kwa sasa. Tujiandae kwa maumivu na aibu!
 
2
Shalom,

Simba SC Leo inatakiwa icheze kwa namna ifuatayo.
1. Umakini kwa dakika zote
2. Kucheza kwa speed dakika zote
3. Ujumuishi na haraka katika kulifikia lango la Al Ahly.
4. Kushambulia kwa pamoja na kukaba kwa pamoja, tunaenda wote na kurudi wote.
5. Wanaocheza 7 na 11 wajibu wao pia ni kusaidia mabeki wao dhidi ya hatari.
6. Kutokabia macho
7. Ikilazimu faulo ifanywe mapema kabla ya eneo la hatari.
8. Kutokumtegemea refa au kibendera kwenye offsides.
9. Kupunguza makosa yasiyo ya lazima.
10. Njaa, kiu ya ushindi na kupigania Jezi na brand ya Simba SC.
11. Kutoruhusu open space za mashuti na Kona nyingi pamoja na faulo nje ya 18.
12. Matumizi ya kila nafasi ya kufunga inipopatikana.
13. Utimamu wa mwili, kujitambua nini Cha kufanya with or without the ball, speed na kiu ya ushindi ndio nguvu leo.
14. Quick anticipation, space marking, dribbling past two or three will be key in final third unlocking low block and slow game by opponents.

Ni hayo tu

Wadiz
Namba 2 ,4 ni tatizo kubwa kwa timu zetu za kibongo...

Umri wachezaji kipengele 😁
 
Back
Top Bottom