Mtangazaji wa Clouds TV kipindi cha Take One

Mtangazaji wa Clouds TV kipindi cha Take One

Makanyaga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2007
Posts
11,724
Reaction score
7,536
Kwa wale ajukuu zangu tu ambao wamo ndani ya Jukwaa hili la JF;
Pamoja na mvi zangu hizi, huwa napenda pia kufuatilia affairs za wajukuu zangu. Huyu mtangazaji ni mzuri sana na kazi zake ni makini sana nazipenda mno, na ana nia njema kabisa ila aangalie asije wakati mwingine akawa anawachonganisha watoto pasipo yeye mwenyewe kujua. Anatakiwa kuwa mpatanishi zaidi kuliko kuwa mchochezi. Nadhani kwa walioangalia kipindi cha jana tarehe 23/07/2013 watakubaliana na mimi. Na kuna vingine vingi nyuma nilishawahi kuviona. halafu wakati mwingine anawang'ang'ania wageni wake kuwauliza maswali ambayo ni too personal ku-air majibu yao kwenye public. Anyway mtizamo wangu!
 
Wasubiri hao hao yanayowahusu, mi hayanihusu kabisaaaaa!
 
Kwa wale ajukuu zangu tu ambao wamo ndani ya Jukwaa hili la JF;
ana nia njema kabisa ila aangalie asije wakati mwingine akawa anawachonganisha watoto pasipo yeye mwenyewe kujua. Anatakiwa kuwa mpatanishi zaidi kuliko kuwa mchochezi. Nadhani kwa walioangalia kipindi cha jana tarehe 23/07/2013 watakubaliana na mimi. Na kuna vingine vingi nyuma nilishawahi kuviona. halafu wakati mwingine anawang'ang'ania wageni wake kuwauliza maswali ambayo ni too personal ku-air majibu yao kwenye public. Anyway mtizamo wangu!

Kwa jana kweli upo sahihi hakukuwa na maana ya kumruhusu Shilole aongee vile juu ya Sinta tena kwenye media kama Clouds ila sishangai sana hizo ndizo kazi na Clouds yaonyesha maana sehemu nyingi wanafanya mambo yao binafsi watangazaji yaani wanaenda nje ya maadili ya utangazaji
 
Kwa jana kweli upo sahihi hakukuwa na maana ya kumruhusu Shilole aongee vile juu ya Sinta tena kwenye media kama Clouds ila sishangai sana hizo ndizo kazi na Clouds yaonyesha maana sehemu nyingi wanafanya mambo yao binafsi watangazaji yaani wanaenda nje ya maadili ya utangazaji

Kiukweli huyu mtangazaji mimi naona kama anawachonganisha watoto, anawaita mmoja baada ya mwingine halafu anaanza kuwauliza maswali ya kichochezi. Jamii wasipomwangalia kwa jicho pana huyu atakuja kusababisha majanga siku moja. Approach yake kama ndiyo anataka kuwapatanisha haiendani na upatanishi. Kipindi cha jana kamwita mtoto mwingine aliyeshambuliwa wiki iliyopita akampa nafasi ya kushambulia na yeye kama kulipiza kisasi vile. Huyu mtangazaji inabidi wamtazame vizuri, anawachonganisha watoto!
 
Zamaradi ni mchonganishi period, katika media ethics za kimataifa hauruhusiwi kuvaa ama kuonyesha msimamo wa dini/ imani yako..cha ajabu amekua akivaa ushungi kama watangazaji wa Citizen ndio maana IPP itaendelea ku lead ukanda huu, huoni mtangazaji akivaa msalaba wala kanzu...
 
Sikukipenda kabisa kipindi cha jana kwakweli kilikaa kiuchonganishi mno, ni kama sasa moto, umewashwa katika ya sinta na shilole
 
I think jana was H Baba and his wifey Florah Mvungi
 
Sikukipenda kabisa kipindi cha jana kwakweli kilikaa kiuchonganishi mno, ni kama sasa moto, umewashwa katika ya sinta na shilole

Ameshaanza kujirekebisha. Kipindi cha jana tarehe 13/08 kilikuwa bomba sana na tofauti kabisa na vipindi vya siku zote huko nyuma. Tumpe big up sana!
 
Hivi huyu si nilisikia kazaa na mmoja wa mabosi wake wakubwa wawili, lakini mtoto kamsingizia mtu mwingine kabisa!. Wanaojua haya mambo watufafanulie!
 
mbona yeye hasemi maisha yake na mzazi mwenza Kusaga ..mbona hasemi aliyempa mimba na maisha yake yote ya aliyemsiponsor kwenye kuwania ubunge viti maalum?
 
Hivi huyu si nilisikia kazaa na mmoja wa mabosi wake wakubwa wawili, lakini mtoto kamsingizia mtu mwingine kabisa!. Wanaojua haya mambo watufafanulie!

Uko nje ya mada, tuacheni mambo ya udaku hayatusaidii sana
 
mbona yeye hasemi maisha yake na mzazi mwenza Kusaga ..mbona hasemi aliyempa mimba na maisha yake yote ya aliyemsiponsor kwenye kuwania ubunge viti maalum?

Uko nje ya mada, tuacheni mambo ya udaku hayatusaidii sana
 
Back
Top Bottom