Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Nimecheka sana atoto ...Its okey, ulivyonijibu kistaarabu hadi nimejisikia vibaya. Am sory.
Kama nakuona sura ilivyokua ndogo ghafla...
Nimecheka sana atoto ...Its okey, ulivyonijibu kistaarabu hadi nimejisikia vibaya. Am sory.
Yaani acha tu, kama ulezi.
Kumbe ndio maana Nape anawataka hawa vilaza walau wawe na digii. Kuna watanagazaji wengine ni vilaza sana, hasa huyu Hassan ngoma...uwezo wake wa kufikiri unaishia urefu wa pua yake.Katika hali ya kuonyesha kuwa ni mwenye dharau na asiye na huruma na Watanzania wasomi ambao kila uchao wanahangaika kutafuta Ajira kutokana na mfumo mbovu na mazingira yaliyopo na bado mpaka leo hawajafanikiwa Mtangazaji wa Clouds tv 360 Hassan Ngoma akizungumza tena bila aibu na akiwa mkavu kabisa na akili timamu amewataka wale Wasomi wote wanaodaiwa na Bodi ya Mikopo nchini Tanzania ( HESLB ) kuanza kutembea popote katika miji yao walipo wauze Ice Cream katika Ofisi mbalimbali ili waweze kupata Pesa ya kulipia madeni yao wanayodaiwa.
Niwe wa kwanza kutaka kumwomba huyu Mtangazaji Hassan Ngoma awaombe radhi haraka sana Wadaiwa wa HESLB kwani nina uhakika kuwa hata alivyokuwa anayasema haya maneno hakuwa akitania bali alikuwa anamaanisha kitendo ambacho hadi Watangazaji wenzake Babie Kabae na Sam Sasali wakawa wanamshangaa.
Kuna wale vimbelembele ambao hudhani kuwa huwa nakurupuka tu kuwasema Watu humu hivyo kwa mnaotaka kujionea alichokisema bahati nzuri Clouds tv 360 Vipindi vyao huwa vipo Youtube hivyo kitafuteni Kipindi cha leo ili mjionee hizo dharau za wazi wazi alizozifanya Mtangazaji Hassan Ngoma kwa Wadaiwa sugu wa HESLB.
Kuwaambia Watu tena Wasomi ambao wanahangaika kutwa kutafuta ajira kuwa Watembeze Ice Cream ili waweze kulipia Madeni yao HESLB ni dharau kubwa, kali na isiyovumilika na ambayo imetolewa na Mtu ambaye tulidhani ndiyo angekuwa mfano mwema katika Jamii yetu kumbe ndiyo Kiongozi wa kuwadhihaki Wasomi Wadaiwa wa Bodi ya Mikopo.
Yaani acha tu, kama ulezi.
Take it easy mkuu...Its okey, ulivyonijibu kistaarabu hadi nimejisikia vibaya. Am sory.
Uwezo wake wa kufikiri unaishia ndani kwa ndani haufiki hata usawa wa pua.Ova(kama Mrangi)Kumbe ndio maana Nape anawataka hawa vilaza walau wawe na digii. Kuna watanagazaji wengine ni vilaza sana, hasa huyu Hassan ngoma...uwezo wake wa kufikiri unaishia urefu wa pua yake.
Kwa hili povu wewe si bure utakuwa unadiwa.... Nakushauri kalipe tu deni kabla haujaanza kuuza hizo ice cream.Na sijui kwanini na yeye alikubali Uteuzi wa kwenda kuwa DED huko Mbulu na matokeo yake kutuleta matatizo mapya sasa 360 Clouds tv. Watangazaji wenzake aliowakuta na ambao kimsingi wanamzidi kwa kila kitu akina Babie Kabae na Sam Sasali tokea tuwajue hapo 360 hawajawahi hata siku moja kuwadharau na kuwadhihaki Watanzania kwa namna moja au nyingine ila huyu Hassan Ngoma hata miezi sita ( 6 ) hajamaliza tayari ameshaanza kututibua. Nakubaliana kabisa na Wewe tena 100% kuwa pengo la Hudson Kamoga bado halijazibika.
Halafu na Wewe Poti wangu Joseph Kusaga na Mtani wangu Ruge Mutahaba hebu muwe mnaangalia basi na Watu wa kuwaajiri hapo kwenu kwani kuna wengine watawaharibia na Vituo vyenu kuonekana ni vya hovyo hovyo. Tunamwomba huyu Mtangazaji wenu wa 360 Hassan Ngoma aombe radhi kwa kauli yake hiyo ambayo kiukweli imetukera sana na mno Watazamaji wenu na atumie platform hiyo hiyo ya tv yenu kuomba radhi.
Mimi ni Mdau wenu mkubwa tu ila kwa hii kauli ya Mtangazaji Hassan Ngoma nimesikitika kwa kiasi kikubwa. Msomi gani huyo asiyejua kuchuja maneno ya kujua wapi aseme nini na wapi apotezee?
Kupata Ajira wapiKumbuka vilevile kuwa Haki ya kupata ajira ni haki ya msingi chini ya katiba yetu
Cert isikupe shida chuo hakujui yuleKatika hali ya kuonyesha kuwa ni mwenye dharau na asiye na huruma na Watanzania wasomi ambao kila uchao wanahangaika kutafuta Ajira kutokana na mfumo mbovu na mazingira yaliyopo na bado mpaka leo hawajafanikiwa Mtangazaji wa Clouds tv 360 Hassan Ngoma akizungumza tena bila aibu na akiwa mkavu kabisa na akili timamu amewataka wale Wasomi wote wanaodaiwa na Bodi ya Mikopo nchini Tanzania ( HESLB ) kuanza kutembea popote katika miji yao walipo wauze Ice Cream katika Ofisi mbalimbali ili waweze kupata Pesa ya kulipia madeni yao wanayodaiwa.
Niwe wa kwanza kutaka kumwomba huyu Mtangazaji Hassan Ngoma awaombe radhi haraka sana Wadaiwa wa HESLB kwani nina uhakika kuwa hata alivyokuwa anayasema haya maneno hakuwa akitania bali alikuwa anamaanisha kitendo ambacho hadi Watangazaji wenzake Babie Kabae na Sam Sasali wakawa wanamshangaa.
Kuna wale vimbelembele ambao hudhani kuwa huwa nakurupuka tu kuwasema Watu humu hivyo kwa mnaotaka kujionea alichokisema bahati nzuri Clouds tv 360 Vipindi vyao huwa vipo Youtube hivyo kitafuteni Kipindi cha leo ili mjionee hizo dharau za wazi wazi alizozifanya Mtangazaji Hassan Ngoma kwa Wadaiwa sugu wa HESLB.
Kuwaambia Watu tena Wasomi ambao wanahangaika kutwa kutafuta ajira kuwa Watembeze Ice Cream ili waweze kulipia Madeni yao HESLB ni dharau kubwa, kali na isiyovumilika na ambayo imetolewa na Mtu ambaye tulidhani ndiyo angekuwa mfano mwema katika Jamii yetu kumbe ndiyo Kiongozi wa kuwadhihaki Wasomi Wadaiwa wa Bodi ya Mikopo.
Mawazo potofu Hudson hakupata used kwa Sababu ya kipindi wakati mwingine muwe mnafanya research? Kwani Gondwe naye alipata Udc kwa lip?Hasan Ngoma anafata nyayo za Hardson Kamoga naye anataka apewe ukurugenzi!
Kama ww ni mfatiliaji wa clouds 360 utakumbuka kuwa kipindi cha uchaguzi mkuu 2015 H Kamoga, H Polepole na H Ngoma misimamo yao ilikuwa sawa sasa nafikiri anatafuta njia ya kupiga pesa kimtindo!
Hahahaa yy mwenyewe anadaiwa .
Alipata kwa sababu zipi?Mawazo potofu Hudson hakupata used kwa Sababu ya kipindi wakati mwingine muwe mnafanya research? Kwani Gondwe naye alipata Udc kwa lip?
we komaa na hyo kazi yako aliyokurithisha baba yako ya kutahiri watoto wa kike, ipo siku moto utakuwakia ukizingatia uliishia drs la nne.Siwezi kufanana na bogus.