Msukuma_De_Great
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 1,185
- 971
Elimu yake please..... mwenye nayo atuletee hapa.... pia siku moja ruge alisema ana miaka 3 hajawai kusoma CV ya mtu pale clouds means ni connection yako tu na ujanja wako mdomo ndo maana mpaka mtu alikua muuza magazeti now mtangazaji na ndo wanaoleta shida mfn ata mwanza pale jamaa wa futuhi nae anatangaza sasa redioni akina gig money