Mtangazaji makerubi wa Tbc1

Mtangazaji makerubi wa Tbc1

Atapita kusoma hapa,naamin wengi wanamkubali ila kasoro mleta uzi alokula maharage sijui ya wap??


Nilikua namuheshimu mimi (mleta uzi) simuheshimu tenaaa

Ukomeeeeeeee
 
Huyu ni mtangazaji wa zamadamu na nyimbo za dini lkn huwa anakera sana,kujichekesha chekesha hovyo,na kujipigia makofi sijui kama yuko vizuri upstairs,Hovyo sana,

huna adabu
 
Usimjaji mtu kwa muonekano wa nje na hulka yke wengine ndo walivyoubwa na Mungu
 
huyu mtangazaji hata mimi huwa ananikera sijui kama ni wa kawaida huwezi kuwa unachekacheka namna eti ndo unafurahia kazi. atakuwa na tatizo la kisaikolojia si wa kawaida huyu makerubi. kumbe tupo wengi wenye uelewa mkubwa wengnine kwa utoto huwa wanaona it is ok. unajua tunatofautiana uwezo wa kuelewa mambo n.k mi nadhan maybe angefaa kutangaza kipind cha watoto wa chekechea but si kipind serious cha watu wenye uelewa kaam sisi. na hata ukiangalia wanouunga mkono utangazaji wake weng ni watoto na div 5 maana sidhan mtu mwelewa anaweza furahia jambo hilo. my galfriend tu huwa hapend hata kumwangalia coz anapata mawazo kuwa huyu atakuwa na tatizo upstairs though mi namkatalia namwambia ni dizain tu ya watu. but the guy has a serious problem
 
huyu mtangazaji hata mimi huwa ananikera sijui kama ni wa kawaida huwezi kuwa unachekacheka namna eti ndo unafurahia kazi. atakuwa na tatizo la kisaikolojia si wa kawaida huyu makerubi. kumbe tupo wengi wenye uelewa mkubwa wengnine kwa utoto huwa wanaona it is ok. unajua tunatofautiana uwezo wa kuelewa mambo n.k mi nadhan maybe angefaa kutangaza kipind cha watoto wa chekechea but si kipind serious cha watu wenye uelewa kaam sisi. na hata ukiangalia wanouunga mkono utangazaji wake weng ni watoto na div 5 maana sidhan mtu mwelewa anaweza furahia jambo hilo. my galfriend tu huwa hapend hata kumwangalia coz anapata mawazo kuwa huyu atakuwa na tatizo upstairs though mi namkatalia namwambia ni dizain tu ya watu. but the guy has a serious problem

Afurahi mwingine uchukie mwingine nan ana tatizo kat yao?
 
Back
Top Bottom