BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kwenye fly ovAjali? Kawe.. Na hiz folen imekuwaje mpka mtu anapata ajali ya kumuua au ilikuwa usiku?
Kwenye fly ovAjali? Kawe.. Na hiz folen imekuwaje mpka mtu anapata ajali ya kumuua au ilikuwa usiku?
Haya banaa....Dogo kuwa mkakamavu wewe ni mwanaume. Mwanaume hutakiwi kuhuzunishwa na vitu vidogo dogo visivyokuwa na mantiki kama kifo.
Sauh'waaa
Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema walikuwa mwendo wa kawaida ila kuna gari ilikuwa ina overtake kutokea mbele yao ktk harakati za kuikwepa kuepuka kugongana uso kwa uso wakaingia mtaroni na wote yeye na dereva wake walikuwa wamelewa na ndan ya gari kulipatikana chupa zingine za pombe zilizokuwa zinanywika na mashuhuda waliofika kuwaokoa wanasema marehemu alikaa siti ya nyuma na hakuwa amevaa mkanda. RIP...sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea🙏Atakua alikua spid sana. Maana kwa hali ya kawaida ya 50kmh hapa mjini gari kuingia mtaroni na kusababisha kifo ni nadra sana. Lazima atakua alikua spid kali sana.
Basi itakua msituko na vile alikua bonge kidogo probably alikua na matatizo ya moyo.Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema walikuwa mwendo wa kawaida ila kuna gari ilikuwa ina overtake kutokea mbele yao ktk harakati za kuikwepa kuepuka kugongana uso kwa uso wakaingia mtaroni na wote yeye na dereva wake walikuwa wamelewa na ndan ya gari kulipatikana chupa zingine za pombe zilizokuwa zinanywika na mashuhuda waliofika kuwaokoa wanasema marehemu alikaa siti ya nyuma na hakuwa amevaa mkanda. RIP...sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea🙏
Dahh... Gambe..!!Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema walikuwa mwendo wa kawaida ila kuna gari ilikuwa ina overtake kutokea mbele yao ktk harakati za kuikwepa kuepuka kugongana uso kwa uso wakaingia mtaroni na wote yeye na dereva wake walikuwa wamelewa na ndan ya gari kulipatikana chupa zingine za pombe zilizokuwa zinanywika na mashuhuda waliofika kuwaokoa wanasema marehemu alikaa siti ya nyuma na hakuwa amevaa mkanda. RIP...sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea🙏
Yeah Probably mana hao mashuhuda wanasema marehemu hakuonekana kupata jeraha lolote la nje ila alikuwa anatokwa na damu puani.Basi itakua msituko na vile alikua bonge kidogo probably alikua na matatizo ya moyo.
Anayekiendesha kwa sasa ni Wambura Mtani. Magasha yeye anafanya kipindi cha Je, Wajua na pia cha SitosahauMagasha naona kaweza kukimudu
Dah! Huwa nadhani siti ya nyuma ni salama zaidi.Kwa mujibu wa mashuhuda wanasema walikuwa mwendo wa kawaida ila kuna gari ilikuwa ina overtake kutokea mbele yao ktk harakati za kuikwepa kuepuka kugongana uso kwa uso wakaingia mtaroni na wote yeye na dereva wake walikuwa wamelewa na ndan ya gari kulipatikana chupa zingine za pombe zilizokuwa zinanywika na mashuhuda waliofika kuwaokoa wanasema marehemu alikaa siti ya nyuma na hakuwa amevaa mkanda. RIP...sisi sote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea🙏
Kufunga mkanda unapokuwa ktk gari ndio salama zaidiDah! Huwa nadhani siti ya nyuma ni salama zaidi.
Mkuu GENTAMYCINE wala sijakukuruka, nimetumia knowledge ya kawaida tu. Dereva wa gari alilopanda Fredwaa alikuwa kalewa, kama Fredwaa angekuwa normal yeye ndo angeendesha hilo gari, umeona video wakiwa na TID? It seems wakati wa ajali ndo walikuwa wanarudi nyumbani......hatu hukumu lakini lifestyle yake ndo imemfikisha hapo broMuwe mnakuwa Wasikivu Mamlaka zikitoa Taarifa zao ili msiwe mnatuchosa tu kwa Kukuruouka Kwenu.
Kamanda wa Polisi katika Taarifa iliyosikika vyema kabisa alisema Chanzo cha Ajali ile ni Dereva wake ' Fredwaa ' kuwa amelewa ' chakari ' na sasa Wanamshikilia kwa Mahojiano zaidi.
Kwa hiyo uko vizuri kwenye kidhunguView attachment 1816363
Nilikuwa namaanisha hivi mkuu. Sema kiswahili ni kigumu mno kwangu kwenye mambo ya kitaalam.
Ajali ilitokea muda gani? usiku au mchana?Mkuu GENTAMYCINE wala sijakukuruka, nimetumia knowledge ya kawaida tu. Dereva wa gari alilopanda Fredwaa alikuwa kalewa, kama Fredwaa angekuwa normal yeye ndo angeendesha hilo gari, umeona video wakiwa na TID? It seems wakati wa ajali ndo walikuwa wanarudi nyumbani......hatu hukumu lakini lifestyle yake ndo imemfikisha hapo bro
Roving Dj alikuwa jacob usunguRoving DJ
Ooh kumbeRoving Dj alikuwa jacob usungu
Sanya JuuKwao ni sehemu gani?
Sanya Juu Wilaya ya Siha.Sanya juu, Hai
Ooooh no
Namkumbuka kwa kipindi chake Cha"Jee huu Ni uungwana?"