Mtangazaji 'Diva The Bawse' aaga rasmi Wasafi Media

Mtangazaji 'Diva The Bawse' aaga rasmi Wasafi Media

Nyumba, ndoa au watoto ni vitu too personal na kila mtu ana priorities zake katika maisha. Hatujui yeye alilenga nini kama achievement kwenye maisha yake.
Umemjibu vyema huyu jamaa aliyekosa malezi mema na yenye upendo akiwa mtoto,basi moyo wake umekuwa mchafu sikuzote
 
Juzi kati hapa alimfukuza kwenye kipindi kisa hisia kutokana na majibu ya Bushoke japo hayakuwa na shida, madai yake eti Bushoke ana dharau. Upuuzi upuuzi tu. Itafute utaipata hiyo interview.
Ahsante mkuu, hawa madada wana stress gani sijui. Sasa mtu presenter halafu unakua na insecurities namna hiyo???
 
Back
Top Bottom