Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,620
- 69,356
Mzima sema nina hasira na mama yenuNakusalimia mzima wewe..
Mzima sema nina hasira na mama yenuNakusalimia mzima wewe..
Alionyesha msimamo kwenyè jambo gani wakati wa JPM?Nimemsikiliza asubuhi, kasema kabisa yeye kama yeye kwenye sifa hizo za serekali hazitaki. Ameamua kuwa mkweli na sio kuwa mnafiki. Atawezaje kuzungumza lugha tofauti na iliyopo kwenye jamii? Nimempongeza sana mtangazaji huyo, kwa uthubutu wa hali ya juu. Ifahamike huyu pia aliwahi kuonyesha msimamo wa ukweli wakati wa Magufuli hadi kituo hicho kufungiwa. Watangazaji wengi wakionyesha kusimamia ukweli hata serekali itajitathimini.
Mimi mpaka naogopa kuna group la wanazuoni tulisoma woteeeeeee Kuna waandishi wa vitabu na wachambuzii mbali mbali watu wanapiga spana balaaMzima sema nina hasira na mama yenu
Na kadri wanavyohaha ndivyo wanaharibu wananchi wana hasira nyie kiufupi hatuwataki saiv wanachofanya ni kejeli tuMimi mpaka naogopa kuna group la wanazuoni tulisoma woteeeeeee Kuna waandishi wa vitabu na wachambuzii mbali mbali watu wanapiga spana balaa
Ngoja ni nukuu quote ya mmoja kuhusu Leo waziri mkuu mwigulu kasema kaelekeza kabisa la GWAJIMA lifunguliwe...
Jamaa kajibu hiviii
"""Asiende Madhabahuni unless Mwenye Mamlaka hii katoka Madarakani, au Kafa au Kapinduliwa.
NI NGUMU KUELEWA ILA MTAELEWA BAADAE.
Au afanye alichokifanya *Katibu Mkuu Mstaafu, Bashiru Ally anayesubiri kupelekwa Ubalizini haijatajwa Bado ila uteuzi wake tayari
nikimaanisha Aungane nao. """
Kapotea sana nimekumbuka mambo yetu ya KUNYWA POMBE na mivinyo mbali mbali..Sina mawasiliano nae
Nafsi inaniambia yupo salama japokuwa anaweza kuwa ameamua kupumzika hapa jamvini yupo anatafakari mambo yanayoendelea hapa nchini labdaKapotea sana nimekumbuka mambo yetu ya KUNYWA POMBE na mivinyo mbali mbali..
Nakusalimia pia ephen_ Asante sanaaaaaa kwa spana zako kwa Lucas mwashambwa ulinikosha sana sanaa agiza BRUTAL weka lipa namba ntalipia 😊
Nasikitika sana!Nafsi inaniambia yupo salama japokuwa anaweza kuwa ameamua kupumzika hapa jamvini yupo anatafakari mambo yanayoendelea hapa nchini labda
Ila namuombea awe salama salmin
Inaumiza sana ,min -me ikiwa huko salama sema neno kaka ,sisi wenzio hatuelewi kama uko salama kosa ni kutobadilishana namba ona sasa taharuki inatuandama .Sina mawasiliano nae
Sio KAWAIDA kabisa UNAJUA SISI WENGINE TUMEKUA JF MONGER'SNafsi inaniambia yupo salama japokuwa anaweza kuwa ameamua kupumzika hapa jamvini yupo anatafakari mambo yanayoendelea hapa nchini labda
Ila namuombea awe salama salmin
Jamaa AmenyookaWakuu,
Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?"
Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za kutishatisha, kuwasaliti Watanzania, bwana hizo salamu hazimuhusu, na waache unafiki.
Anasema kama isingekuwa habari hiyo isingesababisha chombo chao kifungiwe angeifanya kazi bila unafiki! Yaani angekuwa zake bize na picha za satelaiti, naye angeenda kuwahoji serikali, wakae kimya wawe kama Larry😂😂
Kipande hicho cha mazungumzo yao kimeondolewa kwenye kurasa za Clouds, hawataki shida jamani, wasije kupigwa pini bure!
Kwakifupi ni kuwa hata waandishi wakati huu
Inauma kwa yote yanayoendelea ila kwa hayo naomba yasiwe yamempitia huyu ndugu itaniuma sana tena sana 🥱Nasikitika sana!
Jamaa AmenyookaWakuu,
Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?"
Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za kutishatisha, kuwasaliti Watanzania, bwana hizo salamu hazimuhusu, na waache unafiki.
Anasema kama isingekuwa habari hiyo isingesababisha chombo chao kifungiwe angeifanya kazi bila unafiki! Yaani angekuwa zake bize na picha za satelaiti, naye angeenda kuwahoji serikali, wakae kimya wawe kama Larry😂😂
Kipande hicho cha mazungumzo yao kimeondolewa kwenye kurasa za Clouds, hawataki shida jamani, wasije kupigwa pini bure!
Kwakifupi ni kuwa hata waandishi wakati huu
Nimjuavyo mwenyewe si matarajio yangu awe kimya kwa huu ukiritimba tunaoupitiaSio KAWAIDA kabisa UNAJUA SISI WENGINE TUMEKUA JF MONGER'S
MIMI KUNA MUDA WIFE ALIKUA ANACHUKIA KISA MIMI KUWA BUSY JF kuliko kupiga story na YEYE..
Kwa Sasa Huwa anaelewa kua napenda sana kusoma news mbali mbali hapa jamvini
Hayawezi kumpitia yupo zake kwa TrumpInauma kwa yote yanayoendelea ila kwa hayo naomba yasiwe yamempitia huyu ndugu itaniuma sana tena sana 🥱
Na iwe hivyo aiseeHayawezi kumpitia yupo zake kwa Trump