Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,786
- 7,567
Wakuu,
Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?"
Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za kutishatisha, kuwasaliti Watanzania, bwana hizo salamu hazimuhusu, na waache unafiki.
Anasema kama isingekuwa habari hiyo isingesababisha chombo chao kifungiwe angeifanya kazi bila unafiki! Yaani angekuwa zake bize na picha za satelaiti, naye angeenda kuwahoji serikali, wakae kimya wawe kama Larry😂😂
Kipande hicho cha mazungumzo yao kimeondolewa kwenye kurasa za Clouds, hawataki shida jamani, wasije kupigwa pini bure!
Kwakifupi ni kuwa hata waandishi wakati huu
Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?"
Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za kutishatisha, kuwasaliti Watanzania, bwana hizo salamu hazimuhusu, na waache unafiki.
Anasema kama isingekuwa habari hiyo isingesababisha chombo chao kifungiwe angeifanya kazi bila unafiki! Yaani angekuwa zake bize na picha za satelaiti, naye angeenda kuwahoji serikali, wakae kimya wawe kama Larry😂😂
Kipande hicho cha mazungumzo yao kimeondolewa kwenye kurasa za Clouds, hawataki shida jamani, wasije kupigwa pini bure!
Kwakifupi ni kuwa hata waandishi wakati huu