Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 292
Mtangazaji wa EATV katika kipindi cha bongo fleva,Lesa Leo katupia viwalo vya kiuchokozi-chokozi.Una maoni gani?
Na hapo kaenda kazini kabisa.Aisee!Akina dada wana vituko sana.Kwa hiyo hapo amavaa ch*pi yenye miguu mirefu ambayo wao huiita skin-tight!? Samualeko!🤔
Kazi ipo Wallah!Nilikuwa sipendi wakiitwa viburudisho.Lakini kwa akili hizo...hell noo!🙏Na hapo kaenda kazini kabisa.
Sio leo mbona ni jana au juzi😁Mtangazaji wa EATV katika kipindi cha bongo fleva,Lesa Leo katupia viwalo vya kiuchokozi-chokozi.Una maoni gani
Bado haiondoi ujumbe/namna mleta uzi alichotaka kukifikisha kwenye jukwaa.Sio leo mbona ni jana au juzi😁
Wewe ndo umesema hivoBado haiondoi ujumbe/namna mleta uzi alichotaka kukifikisha kwenye jukwaa.
Sijasema.Nimeandika.Wewe ndo umesema hivo
Haya sawaSijasema.Nimeandika.
Take it easy!Haya sawa