Mtandao wa Youtube upo down Tanzania?

Mtandao wa Youtube upo down Tanzania?

hii vita yako na airtel haiwezi kuisha ... Mwl.RCT sjui hua anafanyaje ila yeye anasema hakutani na cap
Kwenye ishu ya cap labda kama mchizi hana matumizi yanayo exceed 500GB kwa mwezi
 
  • Thanks
Reactions: Lax
yeye hanaga malalamiko kwa airtel ni flowing tu
Muulize akupe experience ya juzi kuanzia mida ya saa 3 hadi saa 7 mchana kama hatakuwa na machache ya kusema.

Nowadays Airtel wamekuwa miyeyusho sana kwenye speed tofauti na kipindi cha nyuma. Kipindi cha nyuma hata walipokuwa wanafanya throttling bado uliweza ku browse bila shida. Ila throttling, ya sasa hufanyi kitu yani
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Muulize akupe experience ya juzi kuanzia mida ya saa 3 hadi saa 7 mchana kama hatakuwa na machache ya kusema.
- Hili walitolea taarifa, na waliomba radhi kwa shida ya kiufundi waliyokuwa nayo. Nilipokea SMS zaidi mbili wakielezea kuwa sasa huduma iko sawa.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Muulize akupe experience ya juzi kuanzia mida ya saa 3 hadi saa 7 mchana kama hatakuwa na machache ya kusema.

Nowadays Airtel wamekuwa miyeyusho sana kwenye speed tofauti na kipindi cha nyuma. Kipindi cha nyuma hata walipokuwa wanafanya throttling bado uliweza ku browse bila shida. Ila throttling, ya sasa hufanyi kitu yani
hatari sana
 
Walivyo fungia X (Twitter) Jerry alikuja na sababu za kuwa inakiuka maadili na kukiuka maadili yasiyofaa kwa taifa.. je, Facebook + YouTube nazo zimesambaza maudhui gani yasiyofaa? Au Polepole ni maudhui
 
Nowadays Airtel wamekuwa miyeyusho sana kwenye speed tofauti na kipindi cha nyuma.
Hint:
- Hakikisha umeondoa default settings, ambapo device inakuwa ina_switch kwenda kwenye network yenye signal strength kubwa wakati speed yake ni ndogo.
1752835435905.png


- Jaribu hiyo option.
 
Walivyo fungia X (Twitter) Jerry alikuja na sababu za kuwa inakiuka maadili na kukiuka maadili yasiyofaa kwa taifa.. je, Facebook + YouTube nazo zimesambaza maudhui gani yasiyofaa? Au Polepole ni maudhui
 
Sasa kwa ambao tunaotumia WI-FI/Mi-Fi/5G Router hiyo VPN unainstall wapi?

Haya Pole Pole kashamaliza Mkutano wake tufungulieni Youtube basi.
 
- Hili walitolea taarifa, na waliomba radhi kwa shida ya kiufundi waliyokuwa nayo. Nilipokea SMS zaidi mbili wakielezea kuwa sasa huduma iko sawa.
Sasa hizo sms za kuomba radhi kama umekuwa ukifuatilia zimekuwa zikitumwa zaidi ya siku 2 mfululizo.

Jana tarehe 17 waliomba radhi kufuatia usumbufu wa mtandao uliojitokeza tarehe 16

Tarehe 10 waliomba radhi kufuatia usumbufu uliojitokeza tarehe 9

Na hizi ni moments ambazo unakuta tatizo limeenda kuathiri mfumo mzima wa internet na kufanya ishindikane kabisa ku access

Lakini matatizo ya kupungua speed ambayo yanaweza kudumu muda mrefu zaidi hayo hayaombewi rradhi hata mara moja.
 
Back
Top Bottom