Mtandao wa Youtube upo down Tanzania?

Mtandao wa Youtube upo down Tanzania?

Hint:
- Hakikisha umeondoa default settings, ambapo device inakuwa ina_switch kwenda kwenye network yenye signal strength kubwa wakati speed yake ni ndogo.
View attachment 3409793

- Jaribu hiyo option.
Ishu sio network band. Ishu ni speed kuwa ya kupwa na kujaa

Mfano saizi ndio nimefanikiwa kupata speed ya 20Mbps. Lakini tangu asubuhi ilikuwa inacheza 3Mbps

1752837068890.png
 
Back
Top Bottom