BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Mimi napata kero sana na Vodacom kwenye maswala ya mpesa na vifurushi vya maongezi.
1. Nimeshakatwaga songesha wakati sikuwa na deni
2. Nilinunua bundle la maongezi la mwezi dk1100 mitandao yote imepita wiki tu inaniambia la Vodacom limeisha.
Worse enough uki report wanakuambia utapata majibu within 4 days ila wakikupigia inakuwa kama vile ni case mpya which you need to report as a fresh case.
1. Nimeshakatwaga songesha wakati sikuwa na deni
2. Nilinunua bundle la maongezi la mwezi dk1100 mitandao yote imepita wiki tu inaniambia la Vodacom limeisha.
Worse enough uki report wanakuambia utapata majibu within 4 days ila wakikupigia inakuwa kama vile ni case mpya which you need to report as a fresh case.