saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,173
- 6,156
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli Kikwete kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi.
Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.
Mzee Kikwete alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:
Mwanza-Geita-Bukoba
Nzega-Tabora
Manyoni-Itigi-Tabora
Dodoma-Iringa
Singida-Babati-Minjingu
Minjingu-Arusha
Arusha-Namanga
Babati-Kondoa-Dodoma
Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi
Tanga-Mkinga-Horohoro
Himo-Holili
Himo-Marangu-Rombo-Tarakea
Songea-Mbinga
Mbeya-Sumbawanga
Sumbawanga-Mpanda
Bagamoyo-Msata
Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara
Mwanza-Musoma
Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM
Kijazi Interchange
Mhaville Flyover
Mbezi Louis Bus Terminal
Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi
Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma
Chato International Airport
Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%
Anatokea mtu anasema Kikwete hajafanya kitu ila Hayati Magufuli, kiukweli Magufuli alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa.
Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea.
Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magufuli kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.
Kila eneo huyu Rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia.
Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.
Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.
Mzee Kikwete alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:
Mwanza-Geita-Bukoba
Nzega-Tabora
Manyoni-Itigi-Tabora
Dodoma-Iringa
Singida-Babati-Minjingu
Minjingu-Arusha
Arusha-Namanga
Babati-Kondoa-Dodoma
Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi
Tanga-Mkinga-Horohoro
Himo-Holili
Himo-Marangu-Rombo-Tarakea
Songea-Mbinga
Mbeya-Sumbawanga
Sumbawanga-Mpanda
Bagamoyo-Msata
Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara
Mwanza-Musoma
Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM
Kijazi Interchange
Mhaville Flyover
Mbezi Louis Bus Terminal
Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi
Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma
Chato International Airport
Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%
Anatokea mtu anasema Kikwete hajafanya kitu ila Hayati Magufuli, kiukweli Magufuli alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa.
Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea.
Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magufuli kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.
Kila eneo huyu Rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia.
Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.
Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.