Mtandao wa barabara za lami alizojenga Mstaafu Kikwete katika kipindi chake cha uongozi

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,156
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli Kikwete kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi.

Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.

Mzee Kikwete alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:

Mwanza-Geita-Bukoba

Nzega-Tabora

Manyoni-Itigi-Tabora

Dodoma-Iringa

Singida-Babati-Minjingu

Minjingu-Arusha

Arusha-Namanga

Babati-Kondoa-Dodoma

Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi

Tanga-Mkinga-Horohoro

Himo-Holili

Himo-Marangu-Rombo-Tarakea

Songea-Mbinga

Mbeya-Sumbawanga

Sumbawanga-Mpanda

Bagamoyo-Msata

Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara

Mwanza-Musoma

Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM

Kijazi Interchange

Mhaville Flyover

Mbezi Louis Bus Terminal

Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi

Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma

Chato International Airport

Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%

Anatokea mtu anasema Kikwete hajafanya kitu ila Hayati Magufuli, kiukweli Magufuli alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa.

Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea.

Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magufuli kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.

Kila eneo huyu Rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia.

Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.

Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
 
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli JK kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi. Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.

Mzee JK alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:

Mwanza-Geita-Bukoba

Nzega-Tabora

Manyoni-Itigi-Tabora

Dodoma-Iringa

Singida-Babati-Minjingu

Minjingu-Arusha

Arusha-Namanga

Babati-Kondoa-Dodoma

Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi

Tanga-Mkinga-Horohoro

Himo-Holili

Himo-Marangu-Rombo-Tarakea

Songea-Mbinga

Mbeya-Sumbawanga

Sumbawanga-Mpanda

Bagamoyo-Msata

Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara

Mwanza-Musoma

Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM

Kijazi Interchange

Mhaville Flyover

Mbezi Louis Bus Terminal

Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi

Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma

Chato International Airport

Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%

Anatokea mtu anasema JK hajafanya kitu ila JPM, kiukweli JPM alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa. Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea. Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magu kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.

Kila eneo huyu rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia. Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
Ungeleta Kwa figures inge make sense zaidi ila zoote hazikuzidi.km 6,000 Kwa miaka 10 japo yeye ndio alijenga nyingi zaidi ya Marais waliopita.
 
Usijisahaulishe kuwa waziri wa Ujenzi alikuwa Magufuli ambaye alikuwa anaenda kudai bajeti yake kibabe mkimkatalia anasogeza miwani yake kwa kidole kimoja akaunti inasoma.

Sasa twambie hiyo kasi imeishia wapi kwa waziri Mbarawa
Mzee huyu Magufuli wako alipokuwa Rais alijenga chini ya km 3000 Kwa nini asingeongeza Kasi mara 2?

Kwa Sasa mambo ni 🔥🔥 zaidi
 
Kikwete ni Baba wa barabara na umeme hapa tz, mpaka anastaafu aliacha mikoa yote imeunganishwa na lami pia Kwa Kasi Sana aliacha kata zote tz asimilia 89 ziliunganishwa umeme.
 
Kikwete ni Baba wa barabara na umeme hapa tz, mpaka anastaafu aliacha mikoa yote imeunganishwa na lami pia Kwa Kasi Sana aliacha kata zote tz asimilia 89 ziliunganishwa umeme.
Acha uongo wewe,alijitahidi ila hakuacha Mikoa yote imeunganishwa,kazi ya kuunganisha Mikoa yote anajifanya Samia Kwa Sasa kama hujui sema nikutajie Mikoa ambayo haijaunganishwa na lami.
 
Mzee huyu Magufuli wako alipokuwa Rais alijenga chini ya km 3000 Kwa nini asingeongeza Kasi mara 2?

Kwa Sasa mambo ni 🔥🔥 zaidi

Hii wizara ilikuwa haiendeshwi na raisi la sivyo Kawambwa angeweza kuonyesha ufanisi kama Magufuli.
Kama siyo ubunifu wa JPM kuifungua Dar kwa fly overs na barabara mbili sasa hivi Posta - Tegeta, posta-Kimara tungekuwa tunaitembea kwa siku nzima.
 
Hii wizara ilikuwa haiendeshwi na raisi la sivyo Kawambwa angeweza kuonyesha ufanisi kama Magufuli.
Kama siyo ubunifu wa JPM kuifungua Dar kwa fly overs na barabara mbili sasa hivi Posta - Tegeta, posta-Kimara tungekuwa tunaitembea kwa siku nzima.
Ubunifu upi Mzee? Plans zikianza awamu ya JK na ndio alianzisha BRT.

Tzn sio Dar pekee
 
Acha uongo wewe,alijitahidi ila hakuacha Mikoa yote imeunganishwa,kazi ya kuunganisha Mikoa yote anajifanya Samia Kwa Sasa kama hujui sema nikutajie Mikoa ambayo haijaunganishwa na lami.
Almost aliunganisha mikoa Kwa asimilia 97 kabisa.
 
Siwezi kuelezea mambo yote aliyoyafanya mzee wetu mstaafu mh. sana Jakaya Mrisho Kikwete, leo napenda kuorodhesha baadhi ya barabara za lami alizojenga ktk kipindi cha uongozi wake. Nafanya hivi pengine kuwakumbubusha au kuwajulisha kwa wale ambao hawafahamu maana kuna sijui vitoto au watu wazima kwa makusudi wanamkejeli JK kana kwamba hakuna lolote ila Magufuli ndiyo kafanya mambo mengi. Watu wamejaa uwongo na upotoshaji wa hovyo. Kwa taarifa yenu Magufuli hakuna miradi ya maana alikamilisha, isipokuwa michahe sana ambayo baadhi nitaitaja vilevile.

Mzee JK alijenga mitandao ya barabara zifuatazo:

Mwanza-Geita-Bukoba

Nzega-Tabora

Manyoni-Itigi-Tabora

Dodoma-Iringa

Singida-Babati-Minjingu

Minjingu-Arusha

Arusha-Namanga

Babati-Kondoa-Dodoma

Songea-Namtumbo-Tunduru-Nanyumbu-Masasi

Tanga-Mkinga-Horohoro

Himo-Holili

Himo-Marangu-Rombo-Tarakea

Songea-Mbinga

Mbeya-Sumbawanga

Sumbawanga-Mpanda

Bagamoyo-Msata

Tinde-Isaka-Kahama-Kasamwa-Ngara

Mwanza-Musoma

Baadhi ya miradi aliyokamilisha JPM

Kijazi Interchange

Mhaville Flyover

Mbezi Louis Bus Terminal

Barabara ya Mwigumbi-Maswa-Bariadi

Stand kuu ya mabasi nanenane-Dodoma

Chato International Airport

Miradi mingine mingi aliiacha chini ya 50%, SGR Dar-Moro nafikiri kwenye 80%

Anatokea mtu anasema JK hajafanya kitu ila JPM, kiukweli JPM alikamilisha mambo machache sana, na hii inatokana na ukweli kuwa hakuwa na mipango mizuri, alikuwa anaanzisha miradi kwa pupa na kwa sifa ndiyo hiyo inamtesa mama mpaka sasa. Hata yeye nafikiri anashukuru Mungu amemficha asingeweza kuikamilisha, alishaharibu mahusiano ya kimataifa pesa angepata wapi? Wajinga humu watanitukana ila message sent and delivered na ndiyo ukweli ambao wenye akili wanaujua. Huyu Rais wetu wa sasa Dr. Samia Suluhu Hassan ana akili nyingi sana, ni mjanja sana ndiyo maana anafanya maajabu makubwa usiyoweza kuyaamini. Ndiyo Rais atakayekuja kuvunja rekodi zote zilizopita, tuombeni uzima tufike 2030 tutajionea. Mpaka sasa hivi ameshakaribia kuikamilisha miradi yote mikubwa sana ya kimkakati ya matrilioni ya pesa aliyoanzisha Magu kwa pupa ambayo yeye mwenyewe asingeweza kuikamilisha.

Kila eneo huyu rais ni wonders, mi siyo chawa wala siko kwenye mambo ya siasa hata sifahamiki kokote, ila nina viungo vya kuona na kusikia. Nimepanga siku nirushe baadhi ya mambo ambayo ameshayafanya ndani ya miaka hii miwili na ushee aliyohudumu.Kila mtu ataandika hadithi yake Mungu amlinde rais wetu atakuja kuandika hadithi ndefu isiyo kifani.
Usiseme amejenga JK sema alizosimamia JK.Wanaojenga ni ss watanzania kwa ujumla wetu.Yeye kama yy hana uwezo kabisa wa kujenga hzo barabara isipokuwa kusimamia pekee.Lugha za kijinga zinazoendelea kuoteshwa mizizi na wajinga ndio hz za Rais ametoa hela,mara Raisi amefanya hiki,Ni wakati sasa watanzania tujielewe vzr tuache uzembe wa kiakili.
 
Manyoni- Itigi-Tabora, 2015 December,nimepita ikiwa ni vumbi barabara yote,..kama hili umedanganya,ninaamini zipo barabara nyingi umetaja kwa kudanganya maana lengo lako ni kumpaisha mtu flani dhidi ya mwingine..

Kwa kuwa unajua upo uwezekano wa sisi sote tulioko humu, hatukupita kwenye barabara zote ulizotaja hadi kufikia November 2015, unadhani utatudanganya kirahisi tu
 
Back
Top Bottom