Mtandao gani wenye bundles za internet bora?

Mtandao gani wenye bundles za internet bora?

kama upo nje ya dar cheki na smart kwanza kama wapo eneo lako wana unlimited ya siku kwa 1000 na mwezi 20,000 na ni unlimited ya kweli haishuki speed,

kama upo dar angalia vifurushi vya usiku cheki mtandao utakaokupa speed nzuri usiku kati ya halotel na airtel, na kiasi fulani tigo.
-halotel utapata gb 18 usiku mmoja kwa shilingi 1500
-Airtel utapata gb 10 kwa shilingi 600
-tigo gb 4 kwa sh 1500 ila ni usiku miwili

tumia kwanza airtel na halotel halafu angalia unamaliza gb ngapi kama ni chini ya 4 kwa siku moja then 4g ya tigo gb4 zinaisha kwa siku.

pia airtel wana vocha za chuo ambazo hata kama mtu sio mwanachuo anaweza nunua utapata gb 1.2 kwa sh 600 tu nenda cbe zipo kibao.

halotel/voda/tigo unaweza pia kupata vifurushi vya chuo ila itabidi usajili line.

pia angalia tigo kwenye menu yao ya offer maalum kunakuwa na vifurushi vizuri sana kutegemea na eneo ulipo.
Asante mkuu ila hii bundle ya usiku ya halotel si nikuanzia usiku sana yani saa sita au?
 
Angalia lain yako mkuu..huwa nashusha sana games kwa zile gb18 na kwa kasi sana bila kupungua speed.
nimeshajaribu kwa line tofauti, na kuna thread humu pia watu wanalalamika, au kama kuna sifa fulani line zenu zinazo mungetuambia
 
nimeshajaribu kwa line tofauti, na kuna thread humu pia watu wanalalamika, au kama kuna sifa fulani line zenu zinazo mungetuambia
Mimi natumia ya university but sijajua kama kuna watu wanapata shida kwenye kubaniwa speed..kuna jamaa aliwafata ofisini wakampa line nyingine.
 
kama upo nje ya dar cheki na smart kwanza kama wapo eneo lako wana unlimited ya siku kwa 1000 na mwezi 20,000 na ni unlimited ya kweli haishuki speed,

kama upo dar angalia vifurushi vya usiku cheki mtandao utakaokupa speed nzuri usiku kati ya halotel na airtel, na kiasi fulani tigo.
-halotel utapata gb 18 usiku mmoja kwa shilingi 1500
-Airtel utapata gb 10 kwa shilingi 600
-tigo gb 4 kwa sh 1500 ila ni usiku miwili

tumia kwanza airtel na halotel halafu angalia unamaliza gb ngapi kama ni chini ya 4 kwa siku moja then 4g ya tigo gb4 zinaisha kwa siku.

pia airtel wana vocha za chuo ambazo hata kama mtu sio mwanachuo anaweza nunua utapata gb 1.2 kwa sh 600 tu nenda cbe zipo kibao.

halotel/voda/tigo unaweza pia kupata vifurushi vya chuo ila itabidi usajili line.

pia angalia tigo kwenye menu yao ya offer maalum kunakuwa na vifurushi vizuri sana kutegemea na eneo ulipo.

Hivi vifurushi vya usiku navyo ni mateso tu usubiri hadi saa sita usiku?
 
Hivi vifurushi vya usiku navyo ni mateso tu usubiri hadi saa sita usiku?
voda kilikuwa kinaanza saa nne usiku ila walikuja kupunguza bundle zao za usiku sikufatilia tena, tigo wanaanza saa 5 usiku ila kinawahi kuisha saa 11 asubuhi.

pia sio lazima ukeshe just jiunge connect internet acha downloads zako then lala ukiamka asubuhi utakuta zimekamilika. hapa itabidi tu ujue kucheza na power option display ya laptop/desktop unaizima hali ya kuwa vitu vinaendelea kudownload
 
  • Thanks
Reactions: AMB
voda kilikuwa kinaanza saa nne usiku ila walikuja kupunguza bundle zao za usiku sikufatilia tena, tigo wanaanza saa 5 usiku ila kinawahi kuisha saa 11 asubuhi.

pia sio lazima ukeshe just jiunge connect internet acha downloads zako then lala ukiamka asubuhi utakuta zimekamilika. hapa itabidi tu ujue kucheza na power option display ya laptop/desktop unaizima hali ya kuwa vitu vinaendelea kudownload
Asante mkuu
 
Mimi natumia ya university but sijajua kama kuna watu wanapata shida kwenye kubaniwa speed..kuna jamaa aliwafata ofisini wakampa line nyingine.
Wa kwanza Me yani speed wananibania mpk najiuliza kwani nimewakosea nini
 
Airtel :Kuna bundle ya 10GB usiku kucha :

Halotel : kuna bundle ya 16 GB usiku kucha kuanzia SAA tano usiku hadi saa 12 asubui.
 
Airtel saivi wamekuwa tatizo, naombeni mtandao mwingine wenye offer mzur za Internet, yaan Airtel wananipa 1gb lakni bado wanaiiba yaan ni kama nimenunua mb300 ivi
 
Hivi hii airtel mbona kwangu ina speed ya konokono.
Ipo slow sana lakini watu mnaisifia.
Kwanini mimi ni tofauti?.... hadi nimeiacha kutumia.
 
Hivi hii airtel mbona kwangu ina speed ya konokono.
Ipo slow sana lakini watu mnaisifia.
Kwanini mimi ni tofauti?.... hadi nimeiacha kutumia.
Speed ya airtel inategemea na maeneo lkn ndiyo speed yao hiyo.
 
Naomba msaada wa kufahamishwa mtandao upi wa simu una bundles nzuri na za bei nafuu?

Mimi uwa napenda sana kudownload movies, series nk, sasa tangu voda waondoe kile kifushi cha masaa 24 kwa sh 1000 bila kikomo kwa sasa nimekwama sijui nitumie mtandao gani wa bundles zitakazonifaaa.

Msaada please.
Piga *149*03# nunua cha cku5 kwa tsh.500, hata mara mbili uta faidi
 
Back
Top Bottom