Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,180
TTCL mkuu apo umenena mi Saiv nainjoi na boom parkTTCL ndo mpango mzima
Rudi nyumbani kumenoga
TTCL mkuu apo umenena mi Saiv nainjoi na boom parkTTCL ndo mpango mzima
Rudi nyumbani kumenoga
Boom pack ndo habari ya Mjini.. Nice Leo tu nimejiunga TTCl - TTCL bila kikomo, dk 32 mitndao yote, SMS 330 na GB 3 mwezi 1 kwa 2500TTCL mkuu apo umenena mi Saiv nainjoi na boom park
Unaenda kwa Hawa wakala maxmalipo wanatoa vifurushi vya ttclBoom pack ndo habari ya Mjini.. Nice Leo tu nimejiunga TTCl - TTCL bila kikomo, dk 32 mitndao yote, SMS 330 na GB 3 mwezi 1 kwa 2500
Chief hyo Offer ya Smart ya Unlimited bado ipo had Leo au washaiondoa!?kama upo nje ya dar cheki na smart kwanza kama wapo eneo lako wana unlimited ya siku kwa 1000 na mwezi 20,000 na ni unlimited ya kweli haishuki speed,
kama upo dar angalia vifurushi vya usiku cheki mtandao utakaokupa speed nzuri usiku kati ya halotel na airtel, na kiasi fulani tigo.
-halotel utapata gb 18 usiku mmoja kwa shilingi 1500
-Airtel utapata gb 10 kwa shilingi 600
-tigo gb 4 kwa sh 1500 ila ni usiku miwili
tumia kwanza airtel na halotel halafu angalia unamaliza gb ngapi kama ni chini ya 4 kwa siku moja then 4g ya tigo gb4 zinaisha kwa siku.
pia airtel wana vocha za chuo ambazo hata kama mtu sio mwanachuo anaweza nunua utapata gb 1.2 kwa sh 600 tu nenda cbe zipo kibao.
halotel/voda/tigo unaweza pia kupata vifurushi vya chuo ila itabidi usajili line.
pia angalia tigo kwenye menu yao ya offer maalum kunakuwa na vifurushi vizuri sana kutegemea na eneo ulipo.
nafkiri bado ipo, ila ni nje ya dar.Chief hyo Offer ya Smart ya Unlimited bado ipo had Leo au washaiondoa!?
Ndani ya Dar bei zao zikoje?nafkiri bado ipo, ila ni nje ya dar.
ni Kwa mtandao gani hio hudumaNina saidia watu kupunguza na kubana matumizi na gharama za kupiga simu na gb nyingi za internet ili uwe unapata dakika nyingi na gb nyingi kwa hera kidogo pata
Kwa tsh 2000 unapata dakika 1500 za mtandao mmoja na dakika 300 za mitandao tote na sms bila kikomo gb1½ kwa wiki nzima facebook na whatsapp ni bure ukiwa na vifurushi hiki kama wewe unahitaji offer hizi nitafute nikuelekeze pia karibu ktk group langu la whatsapp namba zangu ni 0756695846 na 0716258599. Nb.. Huuu sio uongo ni ukweli kabisa mimi navitumia hivi vifurushi. .karibu na wewe.
70,000 unlimited 4g.Ndani ya Dar bei zao zikoje?
Nitaipitia site yao. Voda wana spidi, tatizo bei. 15,000 GB 10 kwa 7 days70,000 unlimited 4g.
wana vifurushi vyengine vya kawaida sema site yao naona kama ipo down.
Ah kama ndo hivyo bhas haitonifaa,nilidhani had Darnafkiri bado ipo, ila ni nje ya dar.
usisahau kuangalia vifurushi maalum *149*03# kutegemea na mtu unaweza ukapata vifurushi vya maana.Nitaipitia site yao. Voda wana spidi, tatizo bei. 15,000 GB 10 kwa 7 days
Niliangalia huko. Tena nikushukuru maana hiyo niliitoa kwenye ile thread yako ya vifurushi. Hata hivyo vifurushi vilivyo huko havina afadhali kwangu. Line yangu ni mpya, labda kadiri ya matumizi watanifikiria.usisahau kuangalia vifurushi maalum *149*03# kutegemea na mtu unaweza ukapata vifurushi vya maana.
Tuambizane vichaka ivyokuna bundle za airtel 1gb ni 1000 ndo nafuu kwa sasa. lkn kama wewe ni addict kuna njia za vichaka kwa 10000 unlimited per moon.
Mzee tangu 2016 babu, hizo zishapigwa pini.Tuambizane vichaka ivyo
Naomba nielekeze nataka nidownload need4speedAngalia lain yako mkuu..huwa nashusha sana games kwa zile gb18 na kwa kasi sana bila kupungua speed.