habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 456
Akichangia hivi sasa bungeni, mbunge wa jimbo la mchinga SAID MTANDA amesema kabla ya bajeti ya wizara ya elimu kupita, kwanza Bodi inayoshughulika na kuandaa mitihani ivunjwe na pia kamati ya mitihani inayopanga madaraja ya ufaulu ivunjwe, kwani ndio chanzo hasa cha matokeo mabaya na kiwango kibaya cha ubora wa wanafunzi hapa nchini.
Ameongea kwa uchungu kwamba wizara ya elimu inapaswa kufumuliwa OVERWHOLE ili iwe na tija kwa elimu ya tanzania
Ameongea kwa uchungu kwamba wizara ya elimu inapaswa kufumuliwa OVERWHOLE ili iwe na tija kwa elimu ya tanzania