varangati
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,727
- 1,622
Ahaa...nkajua ndo tunadukuliwaKikwete alizindua na Magufuli anakabidhi kilichokwisha zinduliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa...nkajua ndo tunadukuliwaKikwete alizindua na Magufuli anakabidhi kilichokwisha zinduliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kudukuliwa pia inawezekana wakihitaji kukudukua kwa matumizi yao wanaweza fanya hivyo
Ila nasikia hilo limtambo linauwezo wa kuzima internet je ni kweli?Kudukuliwa pia inawezekana wakihitaji kukudukua kwa matumizi yao wanaweza fanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shida Sana katika namna ya kufikiri na kuchambua mambo katika jamii yetu ya sasa, hakuna upekee bali kufuata mkumbo kwingi na kuongozwa na chuki na hisia hasi hata pasipostahili.....Bawacha bhana alipozindua ulianza kufanya kazi? Hata kusoma hiyo habari uwezi? Ulisikia alichosema Magufuli Jana? Hahahaha bawacha bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwakweliIla nasikia hilo limtambo linauwezo wa kuzima internet je ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzindua unasema maana yake nini?Jifunze kusoma, kusikiliza na kuelewa kisha utoe hoja kwa staha ukijenga heshima yako na kizazi chako,ukurupukaji sio sifa stahiki kwako.
Rais Kikwete alizindua, maana yake mchakato wa kuufanya mtambo kufanya kazi haukukamilika bali ulikuwa unaendelea, na sasa Rais Magufuli amekabidhi mtambo uliotayari kufanya kazi....hujaona tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
mze Baba inaonekana unalipwa hela nzuri kumtetea jeipiemu maana inaonekana huna kazi nyingine zaidi ya kushinda kwenye post hii kumdefend....Usijidharau kiasi hicho, soma vema jambo hili......
Watu wa upande mwingine wa siasa hupenda kuwaita wenzao jina la mnyama pori wa kule Masai mara na Serengeti ambae nyakati nyingi ameshindwa tumia ubongo wake kuchambua mambo...inaleta hisia kali yamkini....
Wewe u binadamu mwenye uwezo mkubwa wa kuchambua mambo kwa kina, katika makabidhiano haya Magufuli ametimiza wajibu wake kama ambavyo Kikwete alitimiza kwa kuzindua wakati wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi Sana, umepataje kujua?mze Baba inaonekana unalipwa hela nzuri kumtetea jeipiemu maana inaonekana huna kazi nyingine zaidi ya kushinda kwenye post hii kumdefend....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio naitafuta kwenye kamusi sanifu ya Kiswahili maana ya neno kuzindua, kisha nikaona tofauti kati ya neno kuzindua na kukabidhi kilichokwisha zinduliwa.Kuzindua unasema maana yake nini?
Mnajua mnafurahusha sana 😃😃😃Ndio naitafuta kwenye kamusi sanifu ya Kiswahili maana ya neno kuzindua, kisha nikaona tofauti kati ya neno kuzindua na kukabidhi kilichokwisha zinduliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha ulikuwa hautumiki?!Kikwete alizindua na Magufuli anakabidhi kilichokwisha zinduliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili si lugha nyepesi sana kwa watumiaji wa mara kwa mara wa lugha hii.Mnajua mnafurahusha sana
Acha kudanganya, mfumo (mtambo) ushaanza kufanya kazi muda mrefu sana na ndomana ulisikia takwimu ya mapato yaliyopatikana kutokana na utendaji wake.Jifunze kusoma, kusikiliza na kuelewa kisha utoe hoja kwa staha ukijenga heshima yako na kizazi chako,ukurupukaji sio sifa stahiki kwako.
Rais Kikwete alizindua, maana yake mchakato wa kuufanya mtambo kufanya kazi haukukamilika bali ulikuwa unaendelea, na sasa Rais Magufuli amekabidhi mtambo uliotayari kufanya kazi....hujaona tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app