Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Wakuu,
Nianze kwa kuwasalimia baada ya kimya cha muda mrefu na kuwatakia Heri ya Mwaka Mpya 2019.
Twende kwenye hoja yangu:
Serikali ya Awamu ya 5 inaenda kuzindua "Mtambo Mpya" wa 'udhibiti' wa Mawasiliano maarufu kama "Telecommunications Traffic Monitoring System (TTMS)".
Kwa wengine watapongeza na wengine wataponda, mimi nina maswali kadhaa najiuliza na kukosa majibu.
Si kweli kuwa TCRA haikuwa na mtambo wa aina hii; upo na ulilalamikiwa kutumiwa visivyo kuingilia mawasiliano ya wananchi kinyume na sheria (Sheria Mama, yaani Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2005)
Aidha, ziliandikwa stories kibao miaka michache tu iliyopita kusifia mfumo huo 'mpya wa zamani'; unaweza kusoma:
Tanzania Deploys the First Mobile Money Monitoring Solution for Regulatory Authorities in the World - NextBillion
&
Inauguration of the Telecommunications Traffic Monitoring System in Tanzania
Huku tukiambiwa mfumo huu (mpya wa zamani) ni wa kipekee duniani na utaokoa mabilioni, wizi, utapeli n.k
Unaweza kusoma pia:
https://www.ippmedia.com/sw/habari/wizi-wa-kampuni-za-simu-kwa-wateja-mwisho
au
SERIKALI IMEKUSANYA BILIONI 63 KUPITIA MTAMBO WA KUHAKIKI NA KUSIMAMIA HUDUMA ZA MAWASILIANO YA SIMU NCHINI. ~ CCM Blog
au
Uzindua wa mitambo maalum ya usimamizi wa Mawasiliano & wa Kudhibiti Matukio ya Uhalifu wa mtandao - JamiiForums
Maswali yangu:
1) Je, mtambo huu tunaoambiwa unazinduliwa, una jipya gani?
2) Mtambo huu, umetugharimu kiasi gani? Pesa zimetoka wapi? Ni kodi zetu?
3) Ni jambo jema kuwa 'wa kwanza', lakini hatugeuzwi chambo?
4) Mtambo uliokuwepo ulikuwa na kasoro? Ni zipi? Gharama zilizotumika kwa mtambo 'tunaoachana nao' zilikuwaje?
5) Aliyetuuzia/tupatia mtambo wa awali - kulikuwa na mkataba naye? Unasemaje? Nini kimepelekea maamuzi ya 'kuupiga chini' mtambo wake? Mawasiliano yetu yalikuwa salama?
MASHAKA YANGU:
Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu 2020, mtambo huu unaweza kutumiwa kufanya illegal communication surveillance na wanasiasa wakatumia visivyo taarifa watakazozipata tokana na wao kusikiliza simu za watu au kusoma taarifa binafsi za watu.
Nianze kwa kuwasalimia baada ya kimya cha muda mrefu na kuwatakia Heri ya Mwaka Mpya 2019.
Twende kwenye hoja yangu:
Serikali ya Awamu ya 5 inaenda kuzindua "Mtambo Mpya" wa 'udhibiti' wa Mawasiliano maarufu kama "Telecommunications Traffic Monitoring System (TTMS)".
Kwa wengine watapongeza na wengine wataponda, mimi nina maswali kadhaa najiuliza na kukosa majibu.
Si kweli kuwa TCRA haikuwa na mtambo wa aina hii; upo na ulilalamikiwa kutumiwa visivyo kuingilia mawasiliano ya wananchi kinyume na sheria (Sheria Mama, yaani Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2005)
Aidha, ziliandikwa stories kibao miaka michache tu iliyopita kusifia mfumo huo 'mpya wa zamani'; unaweza kusoma:
Tanzania Deploys the First Mobile Money Monitoring Solution for Regulatory Authorities in the World - NextBillion
&
Inauguration of the Telecommunications Traffic Monitoring System in Tanzania
Huku tukiambiwa mfumo huu (mpya wa zamani) ni wa kipekee duniani na utaokoa mabilioni, wizi, utapeli n.k
Unaweza kusoma pia:
https://www.ippmedia.com/sw/habari/wizi-wa-kampuni-za-simu-kwa-wateja-mwisho
au
SERIKALI IMEKUSANYA BILIONI 63 KUPITIA MTAMBO WA KUHAKIKI NA KUSIMAMIA HUDUMA ZA MAWASILIANO YA SIMU NCHINI. ~ CCM Blog
au
Uzindua wa mitambo maalum ya usimamizi wa Mawasiliano & wa Kudhibiti Matukio ya Uhalifu wa mtandao - JamiiForums
Maswali yangu:
1) Je, mtambo huu tunaoambiwa unazinduliwa, una jipya gani?
2) Mtambo huu, umetugharimu kiasi gani? Pesa zimetoka wapi? Ni kodi zetu?
3) Ni jambo jema kuwa 'wa kwanza', lakini hatugeuzwi chambo?
4) Mtambo uliokuwepo ulikuwa na kasoro? Ni zipi? Gharama zilizotumika kwa mtambo 'tunaoachana nao' zilikuwaje?
5) Aliyetuuzia/tupatia mtambo wa awali - kulikuwa na mkataba naye? Unasemaje? Nini kimepelekea maamuzi ya 'kuupiga chini' mtambo wake? Mawasiliano yetu yalikuwa salama?
MASHAKA YANGU:
Tunapoelekea Uchaguzi Mkuu 2020, mtambo huu unaweza kutumiwa kufanya illegal communication surveillance na wanasiasa wakatumia visivyo taarifa watakazozipata tokana na wao kusikiliza simu za watu au kusoma taarifa binafsi za watu.