Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Mh. Mtalingolo ,
Rejea jana nyakati za adhuhuri, tulikua katika sharerin' za kawaida hapa Jamvini.
Kama nilikunukuu vizuri ulisema uko Iringa, nami nikakupa pole kua muda ule nilikua naangalia habari via ITV nikaona panahabarishwa mvua kunyesha kandokando mwa msitu wa Saohill.
Mvua iliyoacha athari ya mabonge ya Theluji , ambayo pia ITV walifanikiwa kuchukua picha ya baadhi ya Theluji hiyo , na kutuonesha.
Tabu yangu hapa kwetu East Africa tangu mimi nimekua sijawahi kusikia acha kuona kiwango cha Theluji ile niliyoiona.
Nachokuomba kama wasaa au fursa itakuruhusu na kama itakua ni kuna uwepesi wa wewe kuwaona wataalamu wa Metreology ukawadodosa nini sababu ya Theluji nyingi kiasi kile kudondoka katika maeneo ambayo geographically hayana tabia hizo! Je ? Ni uharibifu wa mazingira tunaoufanya sisi au ni nini ?
Usiku wa Jana pia imeripotiwa Nchi za Uropa Romania, Bulgaria na majirani zao, kudondoka Theluji mapande mengine yakiwa na mita 6 na uzito wa kg 500- 600 ! Mabonge ambayo yaliwaangukia baadhi ya wakazi na kuwaua.
Je ? Na sie tupo njiani kwa kuanzia Iringa ?
Mie mwenzenu nalichukulia tukio hili kwa macho mawili .
Rejea jana nyakati za adhuhuri, tulikua katika sharerin' za kawaida hapa Jamvini.
Kama nilikunukuu vizuri ulisema uko Iringa, nami nikakupa pole kua muda ule nilikua naangalia habari via ITV nikaona panahabarishwa mvua kunyesha kandokando mwa msitu wa Saohill.
Mvua iliyoacha athari ya mabonge ya Theluji , ambayo pia ITV walifanikiwa kuchukua picha ya baadhi ya Theluji hiyo , na kutuonesha.
Tabu yangu hapa kwetu East Africa tangu mimi nimekua sijawahi kusikia acha kuona kiwango cha Theluji ile niliyoiona.
Nachokuomba kama wasaa au fursa itakuruhusu na kama itakua ni kuna uwepesi wa wewe kuwaona wataalamu wa Metreology ukawadodosa nini sababu ya Theluji nyingi kiasi kile kudondoka katika maeneo ambayo geographically hayana tabia hizo! Je ? Ni uharibifu wa mazingira tunaoufanya sisi au ni nini ?
Usiku wa Jana pia imeripotiwa Nchi za Uropa Romania, Bulgaria na majirani zao, kudondoka Theluji mapande mengine yakiwa na mita 6 na uzito wa kg 500- 600 ! Mabonge ambayo yaliwaangukia baadhi ya wakazi na kuwaua.
Je ? Na sie tupo njiani kwa kuanzia Iringa ?
Mie mwenzenu nalichukulia tukio hili kwa macho mawili .