Mtaka ndiye unayefuata

Mtaka ndiye unayefuata

Duh! mamlaka ya uteuzi ikiwa inaondoa watendaji wazuri kwasababu ya majungu na kusagiana kunguni unakuwa ni udhaifu wa hali ya juu.

Ndio maana wale akina naniliu walikataa teuzi, na hata yule bosi wa zamani wa ile idara ya wale jamaa wanaojaza majina yao kwenye 'mikeka' 🫡

Wateule wapimwe kwa utendaji wao kulingana na malengo waliyokubaliana na kiongozi wao. Ujinga mwingine wote upuuzwe.
Kumbe mikeka huwa inajaa majina ya hawa jamaa! kwamba wao ndo wateule peke yao wa kula mema ya nchi........kweli bongo bahati mbaya, kumbe unaweza kuwa na CV kali lakini hauko miongoni mwa hao jamaa, teuzi zinakuwa zinakupita kando.​
 
Uzushi wa karne.
Dodoma alitolewa kufuatia hotuba yake kali kama ‘vigogo wakikuambia mtoto wako asisome tuition kataa sababu watoto wao wanasoma Feza na shule zingine nzuri’
Kauli hii iliwakera sana vigogo na kama angekuwa RC mzembe angeachwa.

Mtaka hawezi andikiwa hotuba na mtu yyt,yupo sawa sana kichwani.
Anahesabiwa tu, ni Chadema mzuri
 
Katiba mpya haiwezi patikana wakati hakuna wa kujitokeza ata barabarani kudai au kulalamika kuhusu mfumuko wa bei inawashinda mtapewaje katiba mpya?.
Watanzania wote 61mln mnazidiwa na Erick omond mmoja wa kenya kaanzisha vita Odinga kafata kenya sasa hivi hakukaliki
Ni kweli .
Wanasiasa wanataka waungwe mkono kwenye mambo yao ya madaraka lakini hawaoni mateso ya wananchi yasiyohusu madaraka Bali maisha yao ya kila siku.

Nchi hii tatizo ni Moja TU ambalo ni matumizi mabaya ya serikali. Hili likisimamiwa hata ruzuku ya chakula itapatikana na Maharage ,mchele ,mahindi na mafuta ya kupikia.
 
Mtaka ni jembe kweri kweri.

Tatizo Kwa Sasa siasa za Tanzania zimegeuka na kuwa siasa za kulamba asali. Hakuna anayezungumzia suala la uadilifu na uchapa kazi . Mtaka ni mchapa kazi na mwadilifu sana.
Nilitegemea mtaka ateuliwe kuwa Mbunge Kisha apewe Wizara ya Miundo mbinu, Kisha Mbarawa apewe Nishati na madini.
Nape Nnauye Wizara ya Mambo ya Ndani.
Mwigulu VIWANDA na Biashara , Fedha Dr. Kimei.
 
Back
Top Bottom