ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,133
- 85,028
Kwani ana u spesho gani huyo mbona mna mpaisha bila sababu za msingi?Anthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliye kunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!