Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,562
- 28,524
Umeongea sawa.Unajua bora uwe na maamuzi ya kuamua unaweka wazi au husemi kabisa. Kama mtaka unamjua vizuri na hutaki kumwaga unga mfate kwake uongee nae kiume...
Kijana Mtaka ni mchapakazi mwenye moyo safi.
Kilichofanya nimfahamu ni kule kukataa kuwaweka ndani watendaji alipokuwa Simiyu, ili kumfurahisha Mwendazake.
Kijana ana kitu si kichwani tu, na moyoni.