Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 164
- 819
Anthony, nakutonya mdogo wangu mfumo haukutaki na ni sababu tu inatafutwa ili ikumwage!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliyekunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!
Kama mhangaikaji na binadamu mwenzangu nakuomba jiandae kisaikolojia yule jamaa aliyekunokolea kipindi ulipokuwa Mvomero kuna kila dalili anaelekea kufanikiwa tena.
Pole mwanamme mwenzangu!