The silent smile
Senior Member
- Jul 17, 2025
- 124
- 206
- Thread starter
- #61
Wanawake wengi wanawaogopa sna dudu washa, sijui kwannDuduwasha na jamii zake
Wanawake wengi wanawaogopa sna dudu washa, sijui kwannDuduwasha na jamii zake
Umesahau dudu la yuyuDuduwasha silipendi nasisimkwa nikiliona, naliogopa vile linavyotembea au mafinyo finyo ya vipepeo wachanga siyataki kabisa
Hilo ni 😋😋Umesahau dudu la yuyu
We huogopi?
Aloo umenifanya nimecheka kijinga sana🤣🤣Ulishawahi kuingia mziki wa NYUKI wewe. Mimi walishawahi ingia ndani ya gari naendesha na liko Kasi..
Nilikuwa nalia huku nimeshikilia kwa Nguvu usukani, Maumivu yake hayaelezeki. Nahisi Nyoka na nyoka ndo wabaya Sana. Maana ni ngumu kuwakimbia kwa haraka.
Ukiogopa jongoo na panya una kuwa na dalili za ukichaaa inamana ww unaogopa hata mbuzi nilitegemea uogope mdudu kama NYOKAHili suala sijawahi kujua linatokana na nini, wataalamu watatuambia..
Pale inapotokea unamuogopa tuu mnyama (wanyama wadogo) au mdudu. Yaan ukiulizwa sababu za kumuogopa hata huna jibu lakueleweka bali unamuogopa tuu, hata kama uwe baunsa ila utashangaa unaogopa kajongoo😄
Sasa bana kila mtu atutajie mnyama au mdudu anayemuogopa na sababu za kumuogopa, huenda tukajifunza kitu.
Binafsi namuogopa sana PANYA, sio kwamba namuogopa kwamba ataning'ata, hapana... Namuogopa tuu bila sababu.
Kadhalika, sijawahi kuweza kumuua panya, hata umfunge kamba hlafu unipe fimbo au jiwe nimpige afe, siwezi kabisa, maana mikono ni kama inapata ganzi na kukosa nguvu na sitaki awepo/apite karibu yangu.
Nikifika sehemu hlafu nijue kuna panya, hapo sitokuwa na amani kamwe.
Na hata nimkute amekufa hlafu uniambie nimshike, utakuwa umenipa adhabu kubwa sana nisoiweza.
Karibuni kwenye mada.
Happy saidei OridaAise wakuu mi naogopa sana aise🥺View attachment 3451795
Mi Lissu!Sisiem
Haitokei kwa kupenda, bali inatokea tuu mwili unakataana na mdudu husika, hata ujiforce kwa kujivika ujasiri huwezi, halafu mara nyingi haitokei kumuogopa kwasababu atakudhuru, bali unamuogopa tuu bila kujua.Ukiogopa jongoo na panya una kuwa na dalili za ukichaaa inamana ww unaogopa hata mbuzi nilitegemea uogope mdudu kama NYOKA
Na kupendeza kote kule😅😅Kinyonga
Ukiogopa jongoo na panya una kuwa na dalili za ukichaaa inamana ww unaogopa hata mbuzi nilitegemea uogope mdudu kama NYOKAHili suala sijawahi kujua linatokana na nini, wataalamu watatuambia..
Pale inapotokea unamuogopa tuu mnyama (wanyama wadogo) au mdudu. Yaan ukiulizwa sababu za kumuogopa hata huna jibu lakueleweka bali unamuogopa tuu, hata kama uwe baunsa ila utashangaa unaogopa kajongoo😄
Sasa bana kila mtu atutajie mnyama au mdudu anayemuogopa na sababu za kumuogopa, huenda tukajifunza kitu.
Binafsi namuogopa sana PANYA, sio kwamba namuogopa kwamba ataning'ata, hapana... Namuogopa tuu bila sababu.
Kadhalika, sijawahi kuweza kumuua panya, hata umfunge kamba hlafu unipe fimbo au jiwe nimpige afe, siwezi kabisa, maana mikono ni kama inapata ganzi na kukosa nguvu na sitaki awepo/apite karibu yangu.
Nikifika sehemu hlafu nijue kuna panya, hapo sitokuwa na amani kamwe.
Na hata nimkute amekufa hlafu uniambie nimshike, utakuwa umenipa adhabu kubwa sana nisoiweza.
Karibuni kwenye mada.
Si ndio nakwambia Kuna kitu kinapungua kichwani mwako kwahiyo ukiambiwa siku za mwisho Kuna moto si ndio unadata kabisa mixer maombi kukeshaHaitokei kwa kupenda, bali inatokea tuu mwili unakataana na mdudu husika, hata ujiforce kwa kujivika ujasiri huwezi, halafu mara nyingi haitokei kumuogopa kwasababu atakudhuru, bali unamuogopa tuu bila kujua.
Wanyama kama nyoka, nge, n.k hao kila mmoja anawaogopa kwasababu wanadhuru, ila kuna yule ambaye unamuogopa sio kwasababu anakudhuru.
XenophobiaHili suala sijawahi kujua linatokana na nini, wataalamu watatuambia..
Pale inapotokea unamuogopa tuu mnyama (wanyama wadogo) au mdudu. Yaan ukiulizwa sababu za kumuogopa hata huna jibu lakueleweka bali unamuogopa tuu, hata kama uwe baunsa ila utashangaa unaogopa kajongoo😄
Sasa bana kila mtu atutajie mnyama au mdudu anayemuogopa na sababu za kumuogopa, huenda tukajifunza kitu.
Binafsi namuogopa sana PANYA, sio kwamba namuogopa kwamba ataning'ata, hapana... Namuogopa tuu bila sababu.
Kadhalika, sijawahi kuweza kumuua panya, hata umfunge kamba hlafu unipe fimbo au jiwe nimpige afe, siwezi kabisa, maana mikono ni kama inapata ganzi na kukosa nguvu na sitaki awepo/apite karibu yangu.
Nikifika sehemu hlafu nijue kuna panya, hapo sitokuwa na amani kamwe.
Na hata nimkute amekufa hlafu uniambie nimshike, utakuwa umenipa adhabu kubwa sana nisoiweza.
Karibuni kwenye mada.
Paka siwapendi mpaka basiNyoka na paka
Alikufanya nini mkuu?Kinyonga ni mpuuzi sana
Nyoka sio mdudu, pia una dalili za ukilema wa akili kwani ulisikia wapi nyoka ni mduduUkiogopa jongoo na panya una kuwa na dalili za ukichaaa inamana ww unaogopa hata mbuzi nilitegemea uogope mdudu kama NYOKA
Si ndio nakwambia Kuna kitu kinapungua kichwani mwako kwahiyo ukiambiwa siku za mwisho Kuna moto si ndio unadata kabisa mixer maombi kukesha
Paka ana ninyima confidance kabisa kwa watuPaka siwapendi mpaka basi