Mtaani Serikali ya Rais Samia inapoteza uungwaji mkono kwa kasi ya kutisha

Tangu alipokiri kuwa hana uwezo wa kufanya hesabu kama alizokuwa anafanya magufuri nikajua moja kwa moja kwamba hatuna Rais
 
Hicho ulichokijua leo, Mwigulu, Ndugai na hata SSH, hawawezi kukijua, hawatumi pesa kwa simu hao. Hii ndiyo tatizo la kuwa na wawakilishi (wabunge) wa chama pekee kinachounda serikali. Siku zote hoja zinazoletwa na serikali ZITAPITA tu bila hata msuguano wa mijadala. Tutulie dawa ituingie huenda akili zitazinduka.
 
Kwwli tukae kwa kutulia hadi zitukae kichwani
 
Hakuna mtu anamuunga mkono mama samia labda wachache mitandaoni ukianza na Mange na group take ile ya kuupiga mwingi
 
Ngoja Covid travel restriction iishe, nadhani hatakuwa anakaa ofisini. Air Bus 200-300 itakoma
 
Mtaa upi huo kamanda?acheni mama afanye kazi.Hadi sasa anaupiga mwingi,kazi iendelee!
 
Umetumia tafiti gani? Sample yako ya uliowahoji na maeneo yapi?

Ni rahisi wewe kusema haungwi mkono kwa kuandika mawazo yako tu!! Ziko taasisis kama REDET, TWAWEZA na Research International ndizo naweza kuziamini
 
Umetumia tafiti gani? Sample yako ya uliowahoji na maeneo yapi?

Ni rahisi wewe kusema haungwi mkono kwa kuandika mawazo yako tu!! Ziko taasisis kama REDET, TWAWEZA na Research International ndizo naweza kuziamini
Endelea kuziamini hizo wakati unajua fika maisha halisi yapo huku chini.

Mimi naishi na watu na siishi tu, bali tunajadiliana na kuzungumzia hali halisi za maisha.
Amini nakuambia, mama hana mvuto tena. Yaani amewaacha watu midomo wazi
 
Kundi la wanawake ambalo ni kubwa na lenyewe limeanza kupoteza imani na Rais ambaye na yeye ni mwanamke.
 
Kwa jinsi Magufuli alivyotukanwa humu mimi binafsi naona haya yanayoendelea ni sawa tu. Watanzania maneno mengi na hatuna jema
Tozo za simu,
Kupanda maradufu Kwa mbolea na gesi,
Vifaa vya ujenzi vinazidi kupaa,
Mafuta yakupikia hayashikiki. petrol bei juu!.
Sintofahamu kuhusu chanjo ya corona.
Ndio Kwanza asubuhi tutarajie mengi ya ajabu zaidi.
Hata hivyo sisi sio wanyonge tutalipa tu hamna tabu. Wasiotaka wahame nchi!
Lala salama Magufuli
 
Binafsi hata ukifuatilia michango yangu huku utaona nguvu niliyotumia kupambana na MATAGA waliokuwa wanampinga mama. Ila sina hata hamu nae tena.
 
dini mkuu imewa-blind, watu wanamtetea kwa sababu ni dini yetu na sio vinginevyo!


huyu jamaa uliyem-quote sijaona popote akimkosoa huyu mama, yeye ni sawa kila kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…