minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Usikute makamu wa Rais anautamani Urais kaamua kumchuuza mama awanyanyase wapinzani ili apate laana tokea kwa wananchi baadae yeye awe RaisKosa halianzii kwake bali linaanzia kwa Mwendazake alipomteua kuwa Mgombea mwenza.
Bazungu balonga; it is a vicious cycle.