Mtaani Kwetu: Massage Parlours in Dar es Salaam

Hivi hii Revonnia Massage Parlour imehamia wapi??maaana nimerudi mjini nakuta pale pamevunjwa na kunajengwa ukuta mkubwaaaaaa....daaah wapo wapi hawa watoa huduma??maana nina complimentary yao hapa.
Kuna dada anaitwa Zenna,tabibu mzuri kweli kweli wa misuli,wameahamia wapi??maana nimerudi mjini naona hakuna kitu pale....maaana kitambooo������������
 
Hii kitu ishakuwa maafufu sana mjini siku hizi...hivi kama zilivyo tax bubu,hakuna kweli na massage bubu??Tujuzane
 
Hivi hii Revonnia Massage Parlour imehamia wapi??maaana nimerudi mjini nakuta pale pamevunjwa na kunajengwa ukuta mkubwaaaaaa....daaah wapo wapi hawa watoa huduma??maana nina complimentary yao hapa.
Kuna dada anaitwa Zenna,tabibu mzuri kweli kweli wa misuli,wameahamia wapi??maana nimerudi mjini naona hakuna kitu pale....maaana kitambooo������������

Zena? inaelekea kakutibu misuli mingi kuely mkuu
 
Dah kuna siku nliingia moja...mtoto mrembo sauti yake sasa. Mara akanigusa jokery...wakati huo maziwa maziwa yapo wazi...nikamwuliza una miaka mingapi akajibu nimezaliwa mwaka 1979, huku akionyesha tabasamu kuwa kanidanganya...nikamuuliza una watoto wangapi akajibu haraka wa 5. Kiumri anakaribia miaka 23 ..nikashangaa... hayo maziwa yamenyonywa na watoto wa 5 yangekuwa hivyo...akayatoa akajibu eeh wewe huyaoni ...duh maziwa meupee yamesimama...nikayagusa akatulia....ilikuwa hali ya hatari...nikaanza kupoteza mawazo kumfikiria ili ilale maana nilikuwa naelekea job...
 
Unaambiwa eti usaule kila kitu, then unapewa taulo lao uvae.
Wakati wa shughuli ya kukandwa mwili, mara ya kwanza mikono inaishia kitovuni,
akiona hujastuka akirudi tena anaishia kiunoni,
akiona hakuna negative respond kutoka kwako basi akirudi tena anaishia ambapo nywele nyingi zimeota,
kama utaendelea kukaa kimya basi safari hii anaishia chini zaidi na kuigusa "rocket ranger" yako,
na kama wewe umelainika basi hapo kwenye ranger, ndani taulo lazima patakua pameinuka kwa muinuko mkubwa mno,
haya yote anayafanya huku akiwa kafungulia sauti lainiiii ya radio na yeye akichombeza kwa sauti yake ya mahaba, taa zinawashwa zile za rangi tu na yeye anakua kavaa kiuchokozi.
Yaani kama ukitaka kujipima wewe ni mgumu kiasi gani, humaindishi mademu na ni mcha mungu basi nenda kwenye hizi parlour then ukiweza kutoka mzima basi wewe kweli umefuzu.

Kwahiyo:1. mtu akiingia humo lazima agegede? 2.Ni wanaume tu wanaofanyiwa Massage? 3.Lengo la mtu kufanyiwa Massage ni nini hasa? Naomba jibu tafadhali ili niomgeze ufahamu wangu ktk mambo ya dunia hii!
 
Kwahiyo:1. mtu akiingia humo lazima agegede? 2.Ni wanaume tu wanaofanyiwa Massage? 3.Lengo la mtu kufanyiwa Massage ni nini hasa? Naomba jibu tafadhali ili niomgeze ufahamu wangu ktk mambo ya dunia hii!

Sio massage parlour zote zina mambo ya kugegeda, hata wanawake wanafanyiwa massage ni pesa yako tu, lengo la kufanya massage ni kukanda joints na misuli, wkt mwingine unaweza kuwa na maumivu ya mwili na ukifanyiwa massage unapata relief kubwa tuu.
 
Mkuu hiyo ni Revonnia,hapo Pentagon pako kinoko noko sana,mana ukitoka tu wakati akili haijakaa sawa unakutana na road,unaweza kutana uso kwa uso na mtu mnayejuana ukaishiwa pozi,wakati huku kwingine hadi ufike road unapata nafsi hata ya kupigwa kaupepo ili akili irudi sawa...halafu mabinti wa Pentagon mashauzi mengi na ushamba,unamkuta binti ana hasira mda woote,hajui caring na kukusaidia vizuri...massage na mtandio wa batiki shingoni wapi na wapi??

Barafu we ni noma..
 
Back
Top Bottom