nemulo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,589
- 441
Kiukweli nahitaji professional massage, wapi huduma yao haina vishawishi? Serious.
Chumbani tu na mkeo.
Kiukweli nahitaji professional massage, wapi huduma yao haina vishawishi? Serious.
Mkuu hiyo ni Revonnia,hapo Pentagon pako kinoko noko sana,mana ukitoka tu wakati akili haijakaa sawa unakutana na road,unaweza kutana uso kwa uso na mtu mnayejuana ukaishiwa pozi,wakati huku kwingine hadi ufike road unapata nafsi hata ya kupigwa kaupepo ili akili irudi sawa...halafu mabinti wa Pentagon mashauzi mengi na ushamba,unamkuta binti ana hasira mda woote,hajui caring na kukusaidia vizuri...massage na mtandio wa batiki shingoni wapi na wapi??
hivi kati ya hizo hakuna ambayo ni real massage bila ngono?
Naanza na list ya massage zilizopo katika jiji la dar kwa ajili ya kupunguza uchovu kama unazijua nyingine endelea...
1.miriam massage masaki
2.signature massage makumbusho
3.............
4.............
WAKUU ENDELEEENI NA KUTUJUZA NYINGINE
radelicious iko shekilango road, somewhere around sinza makaburini au palestina, Sina hakika... napitaga kwa napitaga kwa nje tu, msianze mambo yenu hapa
Practical experience Mkuu
Mbona unajihami kaka?!!
Mbona unajihami kaka?!!
Candor dat viribus alas
Agnus Dei, qui tollis peccata mundi, dona nobis pacem.
Nyie warumi mnafanyia kitubio humu siyo,cave quid dicis, quando, et cui
hahahahaha ndugu yangu nimecheka had nimelia wakat nasoma post yako, ur so articulate yan unamfanya msomaji awe kama anaangalia movie vile.
Kweli dar kuna raha arusha watu wanajishaua tu
Sio kuchoka tu asilimia kubwa huona kama sio muhimu ndo tatizo sasa
Tatizo wanawake wengi wamezubaa na sio wabunifu katika mapenzi na hii ndo inaleta matatizo mengi sana.Neno nimechoka,siwezi,sijisikii ni hatari sana.Nimekuwa nikifanya uchunguzi kwa nini nyumba ndogo zinaongezeka na nikakuta sababu ni ndogo na za kipuuzi kabisa ambazo mke kama angekuwa makini kutimiza wajibu wake wala kusingekuwepo na hili tatizo.
Tatizo wanawake wengi wamezubaa na sio wabunifu katika mapenzi na hii ndo inaleta matatizo mengi sana.Neno nimechoka,siwezi,sijisikii ni hatari sana.Nimekuwa nikifanya uchunguzi kwa nini nyumba ndogo zinaongezeka na nikakuta sababu ni ndogo na za kipuuzi kabisa ambazo mke kama angekuwa makini kutimiza wajibu wake wala kusingekuwepo na hili tatizo.
Vipi naona kama nilikosea maelekezo. Hawana Cmu ya kutuelekeza kufika kwao?Mkuu unajiweza kuzuia dushelele lisianze kunyanyuka kwa muinuko wa slogani ya "kidumu chama tawala"?
Chukua twenty ya huduma ya full massage,na twenty nyingine ya "extra".
Panda basi/usafiri wako binafsi hadi Kinondoni,ukiwa unatoka Kawawa Road katiza kama unaenda Kinondoni makaburini...vuka Abbas Tarimba House,zidi kwenda,achana na Mtaa wa Ufipa yalipo makao makuu ya Chadema,we shukaaaa...mbele kushoto,kuna barabara inapakana na ukuta wa Kanisa nafikiri ni la Pentekoste,mbele utaona Bango linakuonesha Massage Parlour..shuka na hako ka njia..kama nyumba ya tatu kushoto kwako.
Hapo utaingia,ukigonga ni kama mlango umefungwa,lkn ni gear za walioko ndani kumjua mteja kama ni mtu mwema au laa,utafunguliwa na utakuta watoto wazuriiiii,wengi wao ni kutoka mkoa fulani kaskazini ya mbali...Utajichagulia unayemtaka,ataingia chumbani amevaa nguo za mtego na ushawishi wa hali ya juu..utaulizwa uoge na aina ya maji,utambiwa uvue nguo na upewe taulo.
Baadae utaitwa bafuni ni kupewa maji ya uvuguvugu,unaoga then ukirudi chumbani faragha unamkuta mtoto kapulizia unyunyu,taa za mfifio,mziki wa slow jams kwa mbaaaaliiiii,utaulizwa unataka hard massage au soft massage??Ya Poda au ya lotion yenye mchanganyiko wa vilainisha misuli,baada ya hapo unatoa mpaka boxer unabaki na taulo na kulalia tumbo...Unafanyiwa massage kuanzia ukuchani mpaka utosini,baadae anakuomba msamaha kwa sauti ya mbaaliiii,anomba umtoe blauzi mana ni joto,na ametumia nguvu kukusugua so anasweat,baadae anaomba apande akukalie mgongoni ili akunyooshe mabega na kukanda kiuno chako,akipanda anakukalia mgongoni(uzuri wengi wao ni portable,so usihofu)!!!ooops,anakuwa hana kufuri,halafu uwanda wa papuchi umenyolewa kwa mbaaliiii,so zile nyasi korofi za kwenye papuchi unazisikia zinakuchomachoma mgongoni...Jamani duniani kuna rahaaaaa!!!
Utasuguliwa mpaka misuli inalainika,unakuwa mwepesiiiii,shughuli sasa ukigeuka aanze massage ya mbele.....weeeee weeee hapo kama ni Ijumaa kuu,basi kituo cha tisa..."Mkristo kaza Moyo" shetani anapita...
Unakusugua,anafika ikulu,kama anapita mwambaomwambao mwa dushelele hivi,anaenda kulia kama anaenda Singida,mara anarudi Dodoma,tena anakuja kama anapita kwenda Njia ya Kondoa ghafla anageuzia mnadani....anakuja kichwani anafanya massage ya kichwa,kichwa kinakua lainiiiiii,anakuja kifuani..akiinama lazima chuchu zikuguse kifuani....mara unaanza kuhema,na wanajua sana kuwa umezidiwa,Utasikia anasema "do u want extra service"...ukijibu tu,anakwambia ongeza hela...hapo ndio watu wanafilisiwaga hadi nauli mtu anazinduka na akili timamu hana hata mia.
N:B Kwa afya ni nzuri,usije ukakiuka masharti,mi nimekupa ili upate tiba.....
"Ole wao wale wasasabishao wenzao watende dhambi na kukwazika,ingelikuwa heri kwao wafungwe jiwe kubwa shingoni na kutupwa ktk kina cha bahari"
Halafu wana njaa kishenenz. Laki moja waitisha kwa shughuli full...Mkuu hiyo ni Revonnia,hapo Pentagon pako kinoko noko sana,mana ukitoka tu wakati akili haijakaa sawa unakutana na road,unaweza kutana uso kwa uso na mtu mnayejuana ukaishiwa pozi,wakati huku kwingine hadi ufike road unapata nafsi hata ya kupigwa kaupepo ili akili irudi sawa...halafu mabinti wa Pentagon mashauzi mengi na ushamba,unamkuta binti ana hasira mda woote,hajui caring na kukusaidia vizuri...massage na mtandio wa batiki shingoni wapi na wapi??
zipo ila wafanyiwaji massage wenyewe ndio wanaendekeza ngono....