Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,324
- 17,829
Mkuu wewe ulienda kwa kushauriwa na daktari baada ya kuumwa matezi au tatizo jingine kama Prostate Cancer a.k.a tezi dume lakini ukienda ukiwa mzima just for leisure ujue lazima uingie majaribu kwa yanayoendelea kwa akili zetu za kibongo.massage halisi hauwezi pata muhemuko wangono. fikiria kuna matezi yanakuwa yamevimba shingoni na kwenye vigimbi vya mikono na miguu. nanilazima vusiguliwe hadi viishe namaumivu yakenimakali sana. mwisho wa siku unaachwa ukohoi na hauwezi fanya kazi siku nzima. NYIE NENDENI KWENYE MADANGURO!