the big mayai
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 230
- 323
.....unataka kutuambia ni mahindi tu, ndio yenye uwezo wa kumfanya mtu atoboe na asiwaze vidaraja?....hongera, lakini kumbuka kuna watu wanafanya deal nyngne wanapata mafanikio na kufelia pia. So, kama lengo lako ni kutufunza uthubutu umefanikiwa kwa asilimia 90. Lakini kama lengo lako ni kutuaminisha utajiri upo hapo, binafsi najiweka pembeni kama 20percent. Afterall,....fursa hutegemea mahitaji, mazingira, n.k,pengine huko uliko mazingira yamekuleta kwenye neema ya mahindi ya kuchoma.