Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Pesa imeanza kuonekana mapema Sana, kila nachofanya pesa inaingia tu. Jana Kuna biashara ya kawaida tu nimefannya nikalamba mil 12 ya fasta.
Kama wewe ni mvivu huu uzi usiusome maana unaweza pata degedege. Kikubwa tuache kulalamika na tuchape kazi, ukifanya kazi pesa utaiona.
Pesa mtaani Sasa hivi ni nyingi sana, hivyo inahitaji ubunifu kidogo tu kuweza kuipata. Kwa sisi ambao ni magwiji Sasa hivi tunasema mambo mswano.
Mama hongera Sana, maisha yamekuwa mepesi Sana.
Kama wewe ni mvivu huu uzi usiusome maana unaweza pata degedege. Kikubwa tuache kulalamika na tuchape kazi, ukifanya kazi pesa utaiona.
Pesa mtaani Sasa hivi ni nyingi sana, hivyo inahitaji ubunifu kidogo tu kuweza kuipata. Kwa sisi ambao ni magwiji Sasa hivi tunasema mambo mswano.
Mama hongera Sana, maisha yamekuwa mepesi Sana.