Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji(Malawi) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji(Kuroiler) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
 
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji(Kuroiler) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.

Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) ninapatikana Dar es salaam Tegeta-Madale na ukitaka tray kuanzia kumi unaletewa popote ulipo bure ila ukihitaji pungufu ya hapo utatoa nauli nusu na sisi tutakuchangia nusu..kwa mawasiliano zaidi 0769345032 au 0654250816 karibuni sana.
Nimepata mayai leo na nimetamishia nategemea vifaranga vya kutosha
 
Habari Wakuu....
Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua....

Na pia kwa wale wakazi wa Dar es salaam na viunga vyake wanaohitaji huduma za ki veterinarian natoa huduma za chanjo na kutibu kwa wanyama wote wa nyumbani kama vile ;
  • Pets (Dog and cat)
  • Cattle (Ng'ombe)
  • Shoats (Mbuzi na Kondoo)
  • Fresh water fish (samaki)
  • Poultry (Kuku)
  • Rabbit (Sungura)
Pia nafanya surgical operation kwa pets (mbwa na paka) kama vile castration and ovariohysterectomy (kufunga vizazi kwa madume na majike) and many other surgical operation kwa mifugo ya nyumbani tu.....

Updates.....

Vaccination schedules for Chicken......

Siku ya kwanza : Chanjo dhidi ya Marek's na chanjo hii huchanjwa nyuma ya shingo chini ya ngozi but mara nyingi chanjo hii huchanjwa kiwandani (Hatchery)

Siku ya Kumi: Chanjo dhidi ya Gumboro (1st dose) hii huchanganywa na maji

Siku ya kumi na nane: Chanjo dhidi ya Gumboro (2nd dose) hii huchanganywa na maji

Wiki ya tatu: Chanjo dhidi ya Newcastle (1st dose) Hii huchanganywa kwenye maji au huwekwa kwa tone kwenye jicho

Wiki ya sita: Chanjo dhidi ya Ndui Hii huchanjwa kwenye bawa (Inahitaji mtaalamu)

Wiki ya nane: Chanjo dhidi ya Newcastle (2nd dose) Hii huchanganywa kwenye maji au huwekwa kwa tone kwenye jicho

Wiki ya kumi na nane: Chanjo dhidi ya Newcastle (3rd dose) Hii huchanganywa kwenye maji au huwekwa kwa tone kwenye jicho (Baada ya Hii chanjo ya tatu unashauriwa kuchanja kuku wako kila baada ya miezi 3)

Wiki ya kumi na tisa: Wape kuku wako dawa ya Minyoo, Mara nyingi hupewa kwenye maji (Baada ya Hii chanjo ya tatu unashauriwa kuchanja kuku wako kila baada ya miezi 3)
Habari yako mkuu.
Naomba kufahamu ni tatizo gani linapelekea mpk Vifaranga vyangu vinakuwa vinabakiwa na kinyesi makalioni(yanajishika mengi sio kawaida) na tiba yake ni nini?
 
doctor tunakuomba kwenye group letu la ufugaji kuku Ufugaji wa kuku
Habari Wakuu....
Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua....

Na pia kwa wale wakazi wa Dar es salaam na viunga vyake wanaohitaji huduma za ki veterinarian natoa huduma za chanjo na kutibu kwa wanyama wote wa nyumbani kama vile ;
  • Pets (Dog and cat)
  • Cattle (Ng'ombe)
  • Shoats (Mbuzi na Kondoo)
  • Fresh water fish (samaki)
  • Poultry (Kuku)
  • Rabbit (Sungura)
Pia nafanya surgical operation kwa pets (mbwa na paka) kama vile castration and ovariohysterectomy (kufunga vizazi kwa madume na majike) and many other surgical operation kwa mifugo ya nyumbani tu.....

Updates.....

Vaccination schedules for Chicken......

Siku ya kwanza : Chanjo dhidi ya Marek's na chanjo hii huchanjwa nyuma ya shingo chini ya ngozi but mara nyingi chanjo hii huchanjwa kiwandani (Hatchery)

Siku ya Kumi: Chanjo dhidi ya Gumboro (1st dose) hii huchanganywa na maji

Siku ya kumi na nane: Chanjo dhidi ya Gumboro (2nd dose) hii huchanganywa na maji

Wiki ya tatu: Chanjo dhidi ya Newcastle (1st dose) Hii huchanganywa kwenye maji au huwekwa kwa tone kwenye jicho

Wiki ya sita: Chanjo dhidi ya Ndui Hii huchanjwa kwenye bawa (Inahitaji mtaalamu)

Wiki ya nane: Chanjo dhidi ya Newcastle (2nd dose) Hii huchanganywa kwenye maji au huwekwa kwa tone kwenye jicho

Wiki ya kumi na nane: Chanjo dhidi ya Newcastle (3rd dose) Hii huchanganywa kwenye maji au huwekwa kwa tone kwenye jicho (Baada ya Hii chanjo ya tatu unashauriwa kuchanja kuku wako kila baada ya miezi 3)

Wiki ya kumi na tisa: Wape kuku wako dawa ya Minyoo, Mara nyingi hupewa kwenye maji (Baada ya Hii chanjo ya tatu unashauriwa kuchanja kuku wako kila baada ya miezi 3)
 
Mkuu habari naomba unielekeze namna ya kutengeneza funza kama chakula cha kuku maana kuna sehemu nilipita nkaona huo utaalamu mkuu
 
Mkuu! Salute! Swali: kuku wangu mmoja ni nimemkuta na dalili zifuatazo: 1. kuharisha kinyesi cha kijani na nyeupe, 2 kudhoofu/kukonda na kukosa hamu ya kula, na kuzubaa.

Mimi nimehisi ni newcastle au typhoid,
Mpaka sasa sijawachanja kuku wangu mara ya pili newcastle vaccine,na nimekagua sion mwingine mwenye dalili, je kuna hatua za kuchukua kabla ya kuwachanja? Je magonjwa ninayohisi ni sahihi?
 
Mkuu! Salute! Swali: kuku wangu mmoja ni nimemkuta na dalili zifuatazo: 1.kuharisha kinyesi cha kijani na nyeupe, 2 kudhoofu/kukonda na kukosa hamu ya kula, na kuzubaa.
Mimi nimehisi ni newcastle au typhoid,
Mpaka sasa sijawachanja kuku wangu mara ya pili newcastle vaccine,na nimekagua sion mwingine mwenye dalili, je kuna hatua za kuchukua kabla ya kuwachanja? Je magonjwa ninayohisi ni sahihi?
Mkuu kwa case yako kuku kutoa choo cheupe kilichochanganya na kijani ni mwanzo mwa dalili ya homa ya matumbo kwa kuku (fowl typhoid) ama kipindupindu cha kuku (fowl cholera) hivyo basi ningekushauri umtenge huyo kuku mgonjwa na umwanzishie dose ya ESB3 kwa siku tatu changanya vijiko vinne vya chai kwa maji ya lita 20 mpe anywe.....

Na pia ningependa uwaanzishie dose kuku waliosalia kwa kuwapa pia Esb3 iwe kama prophylaxis dhidi ya ugonjwa huu....

Kwanini Esb3 hii dawa ni jamii ya sulfur na inauwezo wa kukinga kuku wako dhidi ya magonjwa matatu nayo ni fowl typhoid fowl cholera na coccidiosis....

Kila la kheri Mkuu....
 
Nawezaje kupata mealworms
Mkuu sijawa na access ya kuwapata hao minyoo kwa ajili ya kuwalisha kuku....

Ila muda si mrefu nitaleta somo humu ndani ni jinsi gani ya kuandaa hao minyoo na imani nitakuwa nimewasaidia wafugaji wengi pia ikiwemo na wewe ....

Na faida ya hao minyoo kwa kuku...

Karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom