Mtaala Mpya wa Elimu, Bila Kiswahili chuoni, tukutane Mahakamani!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Mitaala mipya ya Elimu Tanzania inayokuja hivi karibuni, Isiporuhusu Kiswahili kuwa Lugha rasmi Kuu ya kufundishia kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuuu, Tutatumia haki ya kikatiba kimahakama kuzuia isitumike Tanzania. Tumedumazwa vya kutosha. Tufundishe kwa Lugha yetu ya Taifa

Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama masomo mengine ili tusijitenge na dunia, Lakini Kiswahili iwe ndio Lugha Kuu ya kufundishia watoto wetu, Ni lazima tujenge taifa litakaloelewa kinachofundishwa sio kukariri, Kiswahili kinajitosheleza katika teknolojia, utabibu, uchumi na siasa

Fikiria mtoto anaanza shule ya awali anafundishwa kwa Lugha ya Kiswahili hadi anafika Darasa la Saba, Kuanzia kidato cha kwanza hadi Chuo Kikuu anafundishwa kwa kutumia lugha ya kigeni kiingereza. Mtoto mmoja anafundishwa kwa lugha mbili, Unatarajia kama nchi mtazaa taifa linaljitambua ama ndio haya yaliyojaa mitaani yanajiita machawa na yanaona fahari kuwa hivyo?

Ok, Wahi, Jipatie KITABU cha Ujasusi kwa bei rahisi ya 80,000/= tu.

Nunua kwa
0715865544
0755865544
(Yericko Nyerere).

Nje ya Dar nauli ni 8,000

HAKUNA OFA.

Pia SOMA VITABU kupitia App.

Kwa watumiaji wa iOS, Nenda App Store, Download sasa Application ya YerickoNyerereApp Link kwenye BO: link:‎Yericko Nyerere

Kwa watumiaji wa ANDROID, nenda Play Store Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

Watumiaji wa iOS walioko nje ya TANZANIA jisajili kwa kutumia Apple ID, baadala ya namba ya simu. Malipo yafanywe kwa Apple Pay
 
With all due respect , lugha ya kingereza sio ya utamaduni tena, ni lugha ya kibiashara, ni lugha ya ki diplomasia na kikubwa zaidi ni lugha ya ki technolojia, hata wachina mnaosema ni case study wametumia lugha yao, wanajifunza kingereza pia,

Mtafute mwanafunzi wa computer engineering, muulize kama kuna programming language yoyote zaidi ya kingereza.

Ili twende sawa na dunia hasa kitechnolojia , hakuna ni vizuri kutumia kingereza, zaidi ya hapi tutakua tunapoteza muda kutafsiri maneno ya kitechnolojia kila siku maana technolojia tuna import na tuki import tunaletewa na majina yao, wewe mwenyewe ukute hata hujui fridge kwa kiswahili ni nini,

My humble opinion
Kiswahili kiwe kama somo kisha kingereza kifundishwe kuanzia awali, kutumia kingereza hakukuondolei u Afrika wako
 
Lakini kwanini wasomi wetu mnareason kama lay men? Hi nchi ni masikini LDC kufundisha kwa kiswahili kutaidumaza zaid, kuua future ya watoto wa taifa na kua isolated na dunia, kiswahili chenyewe hatukijui tunaongea cha mitaani.....
Yani Rasilimali zote zilizokuwepo Tanzania bado unadhani future itakufa? Pia unadhani kizungu ndio kinatoa umasikini?

Fatilia Gaddafi alitaka kufanya nini kwenye Nchi yake kwenye ishu ya Elimu
 
Una uwelewa mdogo sana wa mambo, lugha ya kingereza sio ya utamaduni tena, ni lugha ya kibiashara, ni lugha ya ki diplomasia na kikubwa zaidi ni lugha ya ki technolojia, hata wachina mnaosema ni case study wametumia lugha yao, wanajifunza kingereza pia,

Mtafute mwanafunzi wa computer engineering, muulize kama kuna programming language yoyote zaidi ya kingereza
Sasa kama tumesoma lugha ya kingereza toka Uhuru na vyuo vipo kibao kwasasa na watu wameshindwa kutengeneza program kuna maana gani ya lugha ya wazungu.

Pia Nyerere kasema vizuri tu ni ishu ya kufundisha tu lakini kingereza kinapaki kama lugha
 
Yani Rasilimali zote zilizokuwepo Tanzania bado unadhani future itakufa? Pia unadhani kizungu ndio kinatoa umasikini?

Fatilia Gaddafi alitaka kufanya nini kwenye Nchi yake kwenye ishu ya Elimu
Rasilimali zimekaa zaidi ya miaka 100 ila kila siku mtazania ana zidi kua masikini, unafikiri tukifundisha computer kwa kiswahili, ndo tutaweza kutajilika na kuondokana na dumbwi la umasikini. Nchi kama ijerumani Italian China kuna mitaala ya kiibgereza kuanzia chekecha hadi chuo kikuu, sembuse sisi masikini tusio jua hata kutegeneza program hata moja ya kiswahili kwenye computer.
 
Mitaala mipya ya Elimu Tanzania inayokuja hivi karibuni, Isiporuhusu Kiswahili kuwa Lugha rasmi Kuu ya kufundishia kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuuu, Tutatumia haki ya kikatiba kimahakama kuzuia isitumike Tanzania. Tumedumazwa vya kutosha. Tufundishe kwa Lugha yetu ya Taifa

Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama masomo mengine ili tusijitenge na dunia, Lakini Kiswahili iwe ndio Lugha Kuu ya kufundishia watoto wetu, Ni lazima tujenge taifa litakaloelewa kinachofundishwa sio kukariri, Kiswahili kinajitosheleza katika teknolojia, utabibu, uchumi na siasa

Fikiria mtoto anaanza shule ya awali anafundishwa kwa Lugha ya Kiswahili hadi anafika Darasa la Saba, Kuanzia kidato cha kwanza hadi Chuo Kikuu anafundishwa kwa kutumia lugha ya kigeni kiingereza. Mtoto mmoja anafundishwa kwa lugha mbili, Unatarajia kama nchi mtazaa taifa linaljitambua ama ndio haya yaliyojaa mitaani yanajiita machawa na yanaona fahari kuwa hivyo?

Ok, Wahi, Jipatie KITABU cha Ujasusi kwa bei rahisi ya 80,000/= tu.

Nunua kwa
0715865544
0755865544
(Yericko Nyerere).

Nje ya Dar nauli ni 8,000

HAKUNA OFA.

Pia SOMA VITABU kupitia App.

Kwa watumiaji wa iOS, Nenda App Store, Download sasa Application ya YerickoNyerereApp Link kwenye BO: link:‎Yericko Nyerere

Kwa watumiaji wa ANDROID, nenda Play Store Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

Watumiaji wa iOS walioko nje ya TANZANIA jisajili kwa kutumia Apple ID, baadala ya namba ya simu. Malipo yafanywe kwa Apple Pay
Kiswahili kitakupeleka wapi wewe LDC!??,,kwenyw dunia ya sasa unalazimisha watu washikirie lugha ya kienyeji ya kiswahili kwa mantiki ipi!?,Na mara nyingi mnasema mbona china na Russia wanatumia lugha zao come on guys Hizo nchi na Tanzania ni mbingu na ardhi aisee,Sababu mojawapo ya kudumaa kwa baadhi ya mambo hapa nchini ni hili suala la kushikiria Kiswahili kiswahili ukija kwenye Sanaa mziki wetu watu duniani walianza kuuelewa enzi za Diamknd anarise ila Lugha ikatutupa mkono tunarudi nyuma,hivyo hivyo haga filamu zetu Kiswahili kimesababisha zimepiga step nyuma,kwa sisi tunaoengage na baadhi ya foreigners in real life. a mitandaoni ukiwauliza kati ya kenya na Tanzania nchi ipi ni recommended kuvisit watakwambia ni Kenya kwakuwa Tanzania kuna Language barrier thus why utaona reviews nyingi za which country ni best kuvisit kati ya tz na kenya,Kenya inapata rate nyingi kuliko Tz ,CHADEMA na wanaharakati achenj kusumbua mahakama kuna vitu ving vya kujishughulisha navyo na sio hivyo
 
Rasilimali zimekaa zaidi ya miaka 100 ila kila siku mtazania ana zidi kua masikini, unafikiri tukifundisha computer kwa kiswahili, ndo tutaweza kutajilika na kuondokana na dumbwi la umasikini. Nchi kama ijerumani Italian China kuna mitaala ya kiibgereza kuanzia chekecha hadi chuo kikuu, sembuse sisi masikini tusio jua hata kutegeneza program hata moja ya kiswahili kwenye computer.
Yani tatizo umeshindwa kuelewa nini maana ya Mtaala. Ndio maana mpaka sasa bado unajua kuna Tanzania bara na Zanzibar wakati ni Tanganyika na Zanzibar. Pia Mtaala wetu unashindwa kueleza Rasilimali zetu zinaweza kututoa vipi kwenye umasikini!

Bro China, Italian,ujerumani wana program kwa lugha zao,.
 
Kiswahili kitakupeleka wapi wewe LDC!??,,kwenyw dunia ya sasa unalazimisha watu washikirie lugha ya kienyeji ya kiswahili kwa mantiki ipi!?,Na mara nyingi mnasema mbona china na Russia wanatumia lugha zao come on guys Hizo nchi na Tanzania ni mbingu na ardhi aisee,Sababu mojawapo ya kudumaa kwa baadhi ya mambo hapa nchini ni hili suala la kushikiria Kiswahili kiswahili ukija kwenye Sanaa mziki wetu watu duniani walianza kuuelewa enzi za Diamknd anarise ila Lugha ikatutupa mkono tunarudi nyuma,hivyo hivyo haga filamu zetu Kiswahili kimesababisha zimepiga step nyuma,kwa sisi tunaoengage na baadhi ya foreigners in real life. a mitandaoni ukiwauliza kati ya kenya na Tanzania nchi ipi ni recommended kuvisit watakwambia ni Kenya kwakuwa Tanzania kuna Language barrier thus why utaona reviews nyingi za which country ni best kuvisit kati ya tz na kenya,Kenya inapata rate nyingi kuliko Tz ,CHADEMA na wanaharakati achenj kusumbua mahakama kuna vitu ving vya kujishughulisha navyo na sio hivyo
Kiingereza kifundishwe kwa umahiri kama somo kwani ni lugha ya mawasiliano kimataifa. kwani kutakuwa na ubaya?
 
Mitaala mipya ya Elimu Tanzania inayokuja hivi karibuni, Isiporuhusu Kiswahili kuwa Lugha rasmi Kuu ya kufundishia kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuuu, Tutatumia haki ya kikatiba kimahakama kuzuia isitumike Tanzania. Tumedumazwa vya kutosha. Tufundishe kwa Lugha yetu ya Taifa

Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama masomo mengine ili tusijitenge na dunia, Lakini Kiswahili iwe ndio Lugha Kuu ya kufundishia watoto wetu, Ni lazima tujenge taifa litakaloelewa kinachofundishwa sio kukariri, Kiswahili kinajitosheleza katika teknolojia, utabibu, uchumi na siasa

Fikiria mtoto anaanza shule ya awali anafundishwa kwa Lugha ya Kiswahili hadi anafika Darasa la Saba, Kuanzia kidato cha kwanza hadi Chuo Kikuu anafundishwa kwa kutumia lugha ya kigeni kiingereza. Mtoto mmoja anafundishwa kwa lugha mbili, Unatarajia kama nchi mtazaa taifa linaljitambua ama ndio haya yaliyojaa mitaani yanajiita machawa na yanaona fahari kuwa hivyo?

Ok, Wahi, Jipatie KITABU cha Ujasusi kwa bei rahisi ya 80,000/= tu.

Nunua kwa
0715865544
0755865544
(Yericko Nyerere).

Nje ya Dar nauli ni 8,000

HAKUNA OFA.

Pia SOMA VITABU kupitia App.

Kwa watumiaji wa iOS, Nenda App Store, Download sasa Application ya YerickoNyerereApp Link kwenye BO: link:‎Yericko Nyerere

Kwa watumiaji wa ANDROID, nenda Play Store Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

Watumiaji wa iOS walioko nje ya TANZANIA jisajili kwa kutumia Apple ID, baadala ya namba ya simu. Malipo yafanywe kwa Apple Pay
Ngoja tusubiri
 
Mbona shule nyingi za msingi wanafundishwa kwa kiswahili lakin bado ufaulu wa hisabati na sayansi ipo chini? Mi nadhani badala ya kufanya kiswahili kiendelee sekondari hadi chuo kuku bora kingereza kianzie chekechea kama shule za "intaneshino" ambao ufaulu wao si haba kama shule zetu. Kikubwa badala ya kiwekeza kwenye siasa na wanasiasa, tuwekeze kwenye elimu na walimu ili kuwa na matokeo bora.
 
Mitaala mipya ya Elimu Tanzania inayokuja hivi karibuni, Isiporuhusu Kiswahili kuwa Lugha rasmi Kuu ya kufundishia kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuuu, Tutatumia haki ya kikatiba kimahakama kuzuia isitumike Tanzania. Tumedumazwa vya kutosha. Tufundishe kwa Lugha yetu ya Taifa

Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama masomo mengine ili tusijitenge na dunia, Lakini Kiswahili iwe ndio Lugha Kuu ya kufundishia watoto wetu, Ni lazima tujenge taifa litakaloelewa kinachofundishwa sio kukariri, Kiswahili kinajitosheleza katika teknolojia, utabibu, uchumi na siasa

Fikiria mtoto anaanza shule ya awali anafundishwa kwa Lugha ya Kiswahili hadi anafika Darasa la Saba, Kuanzia kidato cha kwanza hadi Chuo Kikuu anafundishwa kwa kutumia lugha ya kigeni kiingereza. Mtoto mmoja anafundishwa kwa lugha mbili, Unatarajia kama nchi mtazaa taifa linaljitambua ama ndio haya yaliyojaa mitaani yanajiita machawa na yanaona fahari kuwa hivyo?

Ok, Wahi, Jipatie KITABU cha Ujasusi kwa bei rahisi ya 80,000/= tu.

Nunua kwa
0715865544
0755865544
(Yericko Nyerere).

Nje ya Dar nauli ni 8,000

HAKUNA OFA.

Pia SOMA VITABU kupitia App.

Kwa watumiaji wa iOS, Nenda App Store, Download sasa Application ya YerickoNyerereApp Link kwenye BO: link:‎Yericko Nyerere

Kwa watumiaji wa ANDROID, nenda Play Store Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play

Watumiaji wa iOS walioko nje ya TANZANIA jisajili kwa kutumia Apple ID, baadala ya namba ya simu. Malipo yafanywe kwa Apple Pay
Chuo cha Afya uwezi kufundisha kwa kiswahili labda vyuo vingine
 
Mbona shule nyingi za msingi wanafundishwa kwa kiswahili lakin bado ufaulu wa hisabati na sayansi ipo chini? Mi nadhani badala ya kufanya kiswahili kiendelee sekondari hadi chuo kuku bora kingereza kianzie chekechea kama shule za "intaneshino" ambao ufaulu wao si haba kama shule zetu. Kikubwa badala ya kiwekeza kwenye siasa na wanasiasa, tuwekeze kwenye elimu na walimu ili kuwa na matokeo bora.
Yani mtihani ndio unapima umahiri wa mtoto,aiseee

Ndipo hapo inabidi tutofautishe kati ya kufundisha lugha na kutumia lugha kama lugha ya kufundishia.
 
Sorry to say, this is a typical myopic thinking....

Tena ningependekeza tufundishe kwa Lugha ya Kingereza anzia primary had chuo kikuu na Kiswahili kiwe somo la lazima kama ilivyo GS.

English is the business and diplomatic language.
Tanzania Hatuna Population ya India au China kuanza kupimana ubavu kwa mustakabali wa vizazi vyetu.
 
Sorry to say, this is a typical myopic thinking....

Tena ningependekeza tufundishe kwa Lugha ya Kingereza anzia primary had chuo kikuu na Kiswahili kiwe somo la lazima kama ilivyo GS.

English is the business and diplomatic language.
Tanzania Hatuna Population ya India au China kuanza kupimana ubavu kwa mustakabali wa vizazi vyetu.
Labda niulize kwanini tunaongea kiswahili?
 
Back
Top Bottom