Maoni yangu kuhusu mtaala mpya wa elimu

live on

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
792
1,268
Kiukweli Kwa Sasa elimu ya Tanzania haina faida yoyote Kwa mtu aliyeishia kidato Cha nne au Sita

Hi elimu hapo zamani ilikuwa na thamani Kwa sababu ilikuwa inatimiza lengo la watu kujua kusoma na kuandika mwalimu Nyerere alifanikiwa katika hili ila Kwa Sasa inabidi tuende mbele zaidi

Maoni yangu ni kama ifuatavyo

1) Lugha ya kufundishia masomo yote iwe kingereza kuanzia darasa la kwanza Hadi chuo kikuu kiswahili kibaki katika somo la lugha ya kiswahili chenyewe na somo la uraia katika ngazi zote

2) katika mtihani wa kidato Cha nne watakao pata division one na two ndio waendelee na masomo ya advance Kwa ajili ya kuandaliwa kusomea prophenal mbalimbli

3) watakao pata division three wapelekwe katika vyuo vya VETA wakasomee ufundi ngazi ya Diploma

4) watakao pata division four wapelekwe VETA wakasomee ufundi ngazi ya certificate

5) Watakao feli kitadato Cha Sita eidha warudie mtihani Ili wapate credit za kusoma chuo kikuu au wapalekwe VETA wakasomee ufundi ngazi ya Diploma hapa atachagua mwanafunzi mwenyewe

Kwa mtiririko huo vijana wengi watapata elimu ya ufundi hivyo tatizo la ajira litapungua pia watakao enda chuo kikuu pia watapungu na tatizo la ajira Kwa wenye prophenal pia litapungua
 
......maoni yako ni mazuri na sahihi kama yatafanyiwa kazi hata Kwa uchache, of coz kwa ushindani uliopo katika soko la dunia la ajira kingereza kinabidi kuwa lugha ya kufundishia kwa ngazi zote, tuachane na dhana potofu kwamba tutakuwa sio wazalendo, kiswahili hakiwezi kufa hata kidogo.......
 
Naomba kujua kitu kimoja tu, je hawa walimu wa cheti ambao bado wapo mtaani wakiwa wanasubiri ajira na siokwamba wamesomea ualimu ngazi ya cheti kwa matakwa yao ila ilikuwa ni mpango wa serikali. Je wao watakuwa katika upande upi.

Yaani kwanamna hiyo nikwamba wanaachwa wananing'inia, juu hawapo chino hawapo. Na Serikali ikumbuke watanzania waliowengi hupeleka watoto wao shuleni kwa kujichanga changa, sasa kwanyie ambao mnacho kutoa matamko hamuoni kuwa ni shida.

Jamani huu usemi unaosema mwenye shibe hamjui mwenye njaa hapa naona unaanza kufanya kazi. Ushauri wangu, Serikali ingefanya mpango wakuondoa hili wimbi la walimu ambao wapo mtaani wenye cheti then baada ya hapo utaratibu uendelee.
 
Naomba kujua kitu kimoja tu, je hawa walimu wa cheti ambao bado wapo mtaani wakiwa wanasubiri ajira na siokwamba wamesomea ualimu ngazi ya cheti kwa matakwa yao ila ilikuwa ni mpango wa serikali. Je wao watakuwa katika upande upi.

Yaani kwanamna hiyo nikwamba wanaachwa wananing'inia, juu hawapo chino hawapo. Na Serikali ikumbuke watanzania waliowengi hupeleka watoto wao shuleni kwa kujichanga changa, sasa kwanyie ambao mnacho kutoa matamko hamuoni kuwa ni shida.

Jamani huu usemi unaosema mwenye shibe hamjui mwenye njaa hapa naona unaanza kufanya kazi. Ushauri wangu, Serikali ingefanya mpango wakuondoa hili wimbi la walimu ambao wapo mtaani wenye cheti then baada ya hapo utaratibu uendelee.
pole mwalimu wa cheti ila mambo yatajiweka tu sawa tuvute subira
 
Naomba kujua kitu kimoja tu, je hawa walimu wa cheti ambao bado wapo mtaani wakiwa wanasubiri ajira na siokwamba wamesomea ualimu ngazi ya cheti kwa matakwa yao ila ilikuwa ni mpango wa serikali. Je wao watakuwa katika upande upi.

Yaani kwanamna hiyo nikwamba wanaachwa wananing'inia, juu hawapo chino hawapo. Na Serikali ikumbuke watanzania waliowengi hupeleka watoto wao shuleni kwa kujichanga changa, sasa kwanyie ambao mnacho kutoa matamko hamuoni kuwa ni shida.

Jamani huu usemi unaosema mwenye shibe hamjui mwenye njaa hapa naona unaanza kufanya kazi. Ushauri wangu, Serikali ingefanya mpango wakuondoa hili wimbi la walimu ambao wapo mtaani wenye cheti then baada ya hapo utaratibu uendelee.
Ninavyo ona wakishaajiriwa itatakiwa wafanye mpango wa kusoma na kufanya mtihani wa kidato cha sita ili wakasome diploma au Shahada... mtaala mpya unasema mwl lazma apitie kidato cha sita.
 
Naomba kujua kitu kimoja tu, je hawa walimu wa cheti ambao bado wapo mtaani wakiwa wanasubiri ajira na siokwamba wamesomea ualimu ngazi ya cheti kwa matakwa yao ila ilikuwa ni mpango wa serikali. Je wao watakuwa katika upande upi.

Yaani kwanamna hiyo nikwamba wanaachwa wananing'inia, juu hawapo chino hawapo. Na Serikali ikumbuke watanzania waliowengi hupeleka watoto wao shuleni kwa kujichanga changa, sasa kwanyie ambao mnacho kutoa matamko hamuoni kuwa ni shida.

Jamani huu usemi unaosema mwenye shibe hamjui mwenye njaa hapa naona unaanza kufanya kazi. Ushauri wangu, Serikali ingefanya mpango wakuondoa hili wimbi la walimu ambao wapo mtaani wenye cheti then baada ya hapo utaratibu uendelee.
Si watafundisha somo la kiswahili Ili kudumisha uzalendo
 
Back
Top Bottom