BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,349
Wajinga wa kwenu wote, unajua uchi wewe pimbi? mimi nilieweka picha ndo nimewazalilisha au ni serikali yao iloshindwa kuwapa huduma? Kama laana ya kwanza kupewa ni CCM na serikali yake. Inayotafuta sifa za kijinga ni CCM inayotoa ahadi za ili ichaguliwe wakati bado imeshindwa kuhudumia wananchi wake wkati ingali madarakani. simbilisi wee.
Kila siku polisi wanatuambi kuhusu urinzi shirikishi watu wanataka kuwasaidia kurinda wao hawataki wana rengo gani kama sio wizi????
kuna watu ni mapimbi kweli utakuta hakuna maji shule hazina madawati na vitabu, hawana hata zahanati ya kijiji... halafu eti push ups..
Au ndo zitakazo leta maendeleo?
Acha udhalilishaji wewe kuwarusha mama zetu wakiwa uchi, unaelewa maana ya labour wewe? usitafute laana bure kwa kutafuta sifa za kijinga.
Kama serikali haijafanya kitu muulize baba na mama yako watakuambia nchi ilikotoka mjinga wewe usiyjua hata historia ya nchi yako. Hao wapumbavu wenzio wameifanyia nini Tanzania zaidi ya kuiba na kukimbia huko na kuanza kuwadanganya wajinga kama wewe funga domo lako.
![]()
Hii ni ishara ya UKAKAMAVU kwa Amiri Jeshi Mkuu
pimbi ni wewe mnafiki. tangu awamu ya kwanza shida ya madeski maji madawa zilikuepo na kazi ya serikali na wananchi ni kuziondoa. mbona humuulizi mbowe hela aliyohongwa kwa kuuza cdm kwa nini hanunui madeski ya shule na dawa badala yake kakimbiza ugenini!kuna watu ni mapimbi kweli utakuta hakuna maji shule hazina madawati na vitabu, hawana hata zahanati ya kijiji... halafu eti push ups..
Au ndo zitakazo leta maendeleo?
pimbi ni wewe mnafiki. tangu awamu ya kwanza shida ya madeski maji madawa zilikuepo na kazi ya serikali na wananchi ni kuziondoa. mbona humuulizi mbowe hela aliyohongwa kwa kuuza cdm kwa nini hanunui madeski ya shule na dawa badala yake kakimbiza ugenini!
UKAKAMAVU wa viouno? what for? "Sihasa" za mwaka huu tutaona mengi.
kuna watu ni mapimbi kweli utakuta hakuna maji shule hazina madawati na vitabu, hawana hata zahanati ya kijiji... halafu eti push ups..
Au ndo zitakazo leta maendeleo?
ni wa kuhurumia tu
baada ya jumapili watarejea kwenye shida zao na mwisho wa siku wanapitisha bakuli kuomba pesa ya matibabu na ada za shule
watu kama hao ni kuwatosa tu
hawajui watendalo
Mkuu mtaji mkubwa wa magamba, ni umasikini na ujinga wa wananchi walio wengi. Na hadi hawa pimbi waishe itachukua muda. yaani hata leo nimeona wakina mama wengi huko mbagala kwenye mkutano, wa ccm ni wale mama wa nyumbani, kwani utajua ni ujinga tu.
"nyie akina nani??Sasa nyie Mlimleta Fisadi, Mwizi, Mbaguzi na Mgonjwa ili kuondoa hizo shida? Watu wanairudishha Ccm madarakani sio kwa kuwa ni wazuri au hawaumii kwa shida ulizotaja bali kwa kuwa Mbowe kalazimisha Ccm irudi kwa kuteua Mtu asiefaa
"nyie akina nani??
Huyo mwizi, fisadi na mgonjwa kakimbia wezi wenzake, wagonjwa wenzake na mafisadi wenzake kule walikua wengi sana... kaamua kukimbilia huku kwingine kama ambavyo wazinzi, wadhambi na wahalifu wanavyokimbilia kuomba msamaha na ku-move on
Huko alipotoka hapafai.... mwacheni tu akimbie
Kuhusu Mbowe, sina cha kujibu, mbowe cant be stronger than all UKAWA combined, he is one uneducated DJ (si ndio huwa mnamuita hivyo??