Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,681
teh teh teh.... mwaka huu hata bubu anasema"Sina Msamiati wa kushindwa" sasa anasema akishindwa atakuwa Mfugaji Monduli. Hana time na ukawa akishashindwa ndo mtajua madhara ya kuzika hoja ya ufisadi ambayo ndo ccm inatamba nayo mpaka kwny mabango.
kokh... kohh