Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,449
- 3,135
Mitaa ipi mingine ni hatari? Nimetia timu Arusha Kwa wiki moja from jiji la panyaroad nikaona nikatembee mitaa ya Ungalimited saa saba usiku nione machalii wana jipya gani....
Nikiwa nimetupia nguo nyeusi, buti la jeje na boshori huku Kila saa nikigusa gusa kiuno as if nina paja la kuku kumbe sina kitu!
Nimekuta machali kwenye vikundi wanavuta jani huku wakionesha wasiwasi jinsi ninavyodunda kukataa mitaa...
Nataka leo usiku niende mtaa hatari nikawaoneshe hawa wavuta bangi Mimi ni nani.
Nyie panyaroad wa dar nitarudi next week.
Nikiwa nimetupia nguo nyeusi, buti la jeje na boshori huku Kila saa nikigusa gusa kiuno as if nina paja la kuku kumbe sina kitu!
Nimekuta machali kwenye vikundi wanavuta jani huku wakionesha wasiwasi jinsi ninavyodunda kukataa mitaa...
Nataka leo usiku niende mtaa hatari nikawaoneshe hawa wavuta bangi Mimi ni nani.
Nyie panyaroad wa dar nitarudi next week.